sio kweli mkuu ukishawambia una kazi wanaondoka..mbona wanaelewa sanahahahaha. Shida ya wale jamaa ukisha tu wakaribisha siku moja watakupigia hodi kila siku kama vile mtu hana kazi ya kufanya
Tungekuwa hatufi nadhani hadi sasa dunia kweli ingejaa na kutimiza lengo.Kuzaa na kuijaza dunia kwa kila namna
Kufa kufaana.... Tusingekua tunakufa tungekua sayari ya mars nowTungekuwa hatufi nadhani hadi sasa dunia kweli ingejaa na kutimiza lengo.
Wanajamvi habarini wote.
Mimi ninaswali ambalo linanitatiza kiimani, kama kichwa cha habari kinavyo uliza.
Hivi kusudi la mungu kumuumba mwanadamu ilikuwa ni 1. Nikufanya kazi au 2. Kumwadundu mungu.
Kwa sababu ninaposoma katika kitabu cha mwanzo naona alimuumba adamu harafu akamkabidhi bustani aitunze but kitu kinachonitatiza sikuona mahara ambapo mungu anamuagiza kuwa adamu amuabudu. Sijajua kwa vitabu vingine kutoka imani tofauti kuhusu uumbaji wa mungu.
NAHITAJI KUELIMISHWA
We chalii weweeHakuna mungu
Kwani angetuumba huko huko haya unayoyasema yasingewezekana?Mungu ametuweka duniani ili tumjue, tumpende, tumtumikie na mwisho turudi kwake mbinguni
Bwana ukifanya kuna mtu atakuuliza unafanya nini? Umewahi kusoma maandiko hayaKwani angetuumba huko huko haya unayoyasema yasingewezekana?
hilo ndilo jibu sahihi .malengo ya mungu kwa viumbe vyake anayajua yeye mungu.full stop.Lengo la Mungu kutuumba sisi halijulikani na halitokaa lijulikane. Lengo la yeye kutuumba analijua yeye.
Kuna mtu aliwahi kuandika humj kwa kutolea mfano wa mkulima na mmea wa karanga. Mkulima akipanda karanga yeye ndiye anayejua ni kwa nini amepanda karanga lakini ule mmea wa karanga hauwezi jua chochote hadi unanyauka. Ubongo wako umekuwa programed kuelewa vitu kwa ukomo. Hilo unalotaka kulifahamu wewe liko nje ya uwezo wako. Hayo mengine sijui kufanya kazi sijui kumuabudu ni sisi kujipendekeza kwetu tu.
Wewe ishi tu mzee baba.