Kiti Chema
JF-Expert Member
- Oct 18, 2017
- 1,791
- 1,940
Wanajamvi habarini wote.
Mimi ninaswali ambalo linanitatiza kiimani, kama kichwa cha habari kinavyo uliza.
Hivi kusudi la mungu kumuumba mwanadamu ilikuwa ni 1. Nikufanya kazi au 2. Kumwadundu mungu.
Kwa sababu ninaposoma katika kitabu cha mwanzo naona alimuumba adamu harafu akamkabidhi bustani aitunze but kitu kinachonitatiza sikuona mahara ambapo mungu anamuagiza kuwa adamu amuabudu. Sijajua kwa vitabu vingine kutoka imani tofauti kuhusu uumbaji wa mungu.
NAHITAJI KUELIMISHWA
Mimi ninaswali ambalo linanitatiza kiimani, kama kichwa cha habari kinavyo uliza.
Hivi kusudi la mungu kumuumba mwanadamu ilikuwa ni 1. Nikufanya kazi au 2. Kumwadundu mungu.
Kwa sababu ninaposoma katika kitabu cha mwanzo naona alimuumba adamu harafu akamkabidhi bustani aitunze but kitu kinachonitatiza sikuona mahara ambapo mungu anamuagiza kuwa adamu amuabudu. Sijajua kwa vitabu vingine kutoka imani tofauti kuhusu uumbaji wa mungu.
NAHITAJI KUELIMISHWA