carcinoma
JF-Expert Member
- Mar 5, 2017
- 5,059
- 13,721
Sio na medicine mkuuPCM ni combination ya vipanga, alosoma PCM anafit kusomea chochote chuo kikuu,
Sio na medicine mkuuPCM ni combination ya vipanga, alosoma PCM anafit kusomea chochote chuo kikuu,
Leo ni mwaka wa tatu serikali haijaajiri daktari au nesi,unaleta habari za vijiweni,kuna madaktari manesi wengi tu wako mtaani wanasaka ajira kama kada zingineWengi wanasema PCB
Kusomea chochote??? VP kuhusu afya na kilimo ngazi ya degree?
Hahahhaah unazinguaaUkisoma PCM ukafanikiwa kuja kusoma engineering kama electrical hivi ni fani nzuri kujiajiri , hulali njaa unatembea na tester zako tu unakua hata kishoka
Ajira za nchi hii zinabadilika badilika mithili ya kinyonga/pweza. Soma kombi unayoweza au unapenda au inayokupa wigo mpana. Kwa mfano mtu heasabu na chemistry yuko poa lakini biology haipandi-hapo ukitaka F5 unakwenda PCM. Mwingine yeye anataka juwa engineer-hapo uruke tu na PCM. Mwingine hajui kabisa anataka aje kuwa nani-hapo unachagua combi zenye wigo mpana kwa mfano EGM, PCB au PCM.Labda niiweke mada hii vizur ndugu zangu wa JF nimesikia maneno mengi kwa baadh ya watu ati Kusoma PCM ni kujichosha kwani suala la ajira hapa nchini kwetu ni ndoto
.
.kwa walio pitia njia hii nikimaanisha PCM naomba clarification juu ya mada hii
.Aaante
Sio kweli,nchi gani hiyo?Kibongo bongo haiwezekani
Ila nchi za wenzetu anasoma maana wanazingatia hiyo physics na chemistry na biology aliyosoma o level ndo maana anapokelewa maana PCM
Sio kweli,nchi gani hiyo?
Ni zaidi ya kweli,mkuu afatilie tuKuna Uzi umu jaribu kuufukua kuna madogo wanasoma Harvard university ni mapacha wote walipiga PCM ilboru
Mmoja anapiga udaktari mkuu
Nchi nyingi tu marekani n.k unaruhusiwa tu ili mradi performance yako uko vizuri wana consider biology ya o level huu mfumo wa kuangalia biology ya advance kwetu tumeuzoea
Ndo maana wewe unabisha ila nchi zingine siyo kigezo fuatilia
Mkuu kuna irrigation and water resources pia kuna agricultural engineering anapiga kama kawaida upande wa kilimo .Technicians or machines operators wapo wengi tu wamepiga pcmKusomea chochote??? VP kuhusu afya na kilimo ngazi ya degree?
Acha uwongo madaktari wameajiriwa japo sio wote waliohitimu.Leo ni mwaka wa tatu serikali haijaajiri daktari au nesi,unaleta habari za vijiweni,kuna madaktari manesi wengi tu wako mtaani wanasaka ajira kama kada zingine