Acha kuwa easygoing! mzabzab amesahau kuwa hao watoto hawakujileta bali nyie wawili kwa raha zenu mliwaleta. Huwezi kuwatenga na nyie siyo watu wengine bali ni nyie. Lazima wapewe kipaumbele kabla ya kujifikiria nyie. Ni muhali kuvumilia ndoa ya MATESO for the sake of children la sivyo ulikuwa hujawa tayari kuleta kiumbe duniani, ulifosi maana ulikuwa hujakomaaNdo hapo sasa.🥴🥴
Mwishowe watoto wanaishia kuwa miserable as much as the parents 😐
Talaka ni matokeo ya Extreme selfishness.mgongoni mwa wanandoa..mmojawapo au wote.Always thinking of yourself.huna zaidi ya kinachokutawala zaidi ya mimi..mimi..mimi mimi..since day one ya mahusiano yenu.Salaam great thinkers
Talaka zimekuwa gumzo/talk of town.
Kwa mtazamo wako, unahisi nini kinapelekea, watu waliopendana, wakaoana kwa hiari/utashi wao bila shuruti, wakaishi na kupata watoto, wanaamua kuachana kila mtu ashike hamsini zake?.
Sitaki kuhukumu, naamini kila mtu ana sababu muhimu inayomfanya afanye maamuzi ya kuachana.
Je unafikiri maamuzi haya yana hekima? Je kabla ya kuachana huwa tunaangalia matokeo ya kuachana kwetu? Hao watoto tunaweka kwenye hali gani? Familia hizi mbili zilizokuwa connected na wanandoa tunaziweka katika hali gani?
Nawasilisha.
Baba kila kitu kinaisha. Yaani kila kitu kina mwisho, including mapenzi. Ukiona watu wametalikiana ujue mapenzi yao yamefika mwisho.Salaam great thinkers
Talaka zimekuwa gumzo/talk of town.
Kwa mtazamo wako, unahisi nini kinapelekea, watu waliopendana, wakaoana kwa hiari/utashi wao bila shuruti, wakaishi na kupata watoto, wanaamua kuachana kila mtu ashike hamsini zake?.
Sitaki kuhukumu, naamini kila mtu ana sababu muhimu inayomfanya afanye maamuzi ya kuachana.
Je unafikiri maamuzi haya yana hekima? Je kabla ya kuachana huwa tunaangalia matokeo ya kuachana kwetu? Hao watoto tunaweka kwenye hali gani? Familia hizi mbili zilizokuwa connected na wanandoa tunaziweka katika hali gani?
Nawasilisha.
Kweli mkuu umenena. Ubinafsi umetutawala SanaTalaka ni matokeo ya Extreme selfishness.mgongoni mwa wanandoa..mmojawapo au wote.Always thinking of yourself.huna zaidi ya kinachokutawala zaidi ya mimi..mimi..mimi mimi..since day one ya mahusiano yenu.
Ni kweli Ila ni gharama kwa wale watoto mlioewaleta duniani.Baba kila kitu kinaisha. Yaani kila kitu kina mwisho, including mapenzi. Ukiona watu wametalikiana ujue mapenzi yao yamefika mwisho.
Acha kuwa easygoing! mzabzab amesahau kuwa hao watoto hawakujileta bali nyie wawili kwa raha zenu mliwaleta. Huwezi kuwatenga na nyie siyo watu wengine bali ni nyie. Lazima wapewe kipaumbele kabla ya kujifikiria nyie. Ni muhali kuvumilia ndoa ya MATESO for the sake of children la sivyo ulikuwa hujawa tayari kuleta kiumbe duniani, ulifosi maana ulikuwa hujakomaa
Kweli usemayo. Kuwa na mtoto ni huge responsibility na ni jambo ambalo wengi hatulichukulii kwa uzito wake.Acha kuwa easygoing! mzabzab amesahau kuwa hao watoto hawakujileta bali nyie wawili kwa raha zenu mliwaleta. Huwezi kuwatenga na nyie siyo watu wengine bali ni nyie. Lazima wapewe kipaumbele kabla ya kujifikiria nyie. Ni muhali kuvumilia ndoa ya MATESO for the sake of children la sivyo ulikuwa hujawa tayari kuleta kiumbe duniani, ulifosi maana ulikuwa hujakomaa
Kama yupo responsible kwa watoto wenu hawezi kuigawa K maana anajua mtaachana na madhira yatakuwa kwa viumbe mlivyovileta kwa starehe zenu wala havikuwatuma mvilete duniani. Kwanza ukiona mama anatembea nje jua kuwa huyo hata hawatakii mema watoto wake maana mama kama mlezi huwa watoto wanaharibika akianza kuonekana na michepuko. Mwanaume unaweza usirudi nyumbani ukaja asubuhi na familia ikawa bado ipo intact ila mke wako akirudi saa 6 usiku, hiyo familia inaondoka. Kwa hiyo kidendo cha kuitoa kwa mtu hiyo K iliyotumika kuleta hivyo viumbe vya mungu ni ishara kuwa hafai.Kweli usemayo. Kuwa na mtoto ni huge responsibility na ni jambo ambalo wengi hatulichukulii kwa uzito wake.
That said haimaanishi pale ambapo hamana maelewabo baina ya nyie wawili basi mlazimishe kuishi pamoja tuu kisa watoto....watoto wanaweza kuendelea kuwa kipaumbele chenu huku kila mtu akiwa anaishi kivyake. Iweje nijue mke wangu mbususu yake inagegedwa alafu mie niendelee kukaa nae? Hamna trust tena hapo u will always question anachokwambia sasa maisha gani tema hayo.
Wapo wamama wapo responsible kwa watoto zao na bado mbususu wanatoa nje huko.Kama yupo responsible kwa watoto wenu hawezi kuigawa K maana anajua mtaachana na madhira yatakuwa kwa viumbe mlivyovileta kwa starehe zenu wala havikuwatuma mvilete duniani. Kwanza ukiona mama anatembea nje jua kuwa huyo hata hawatakii mema watoto wake maana mama kama mlezi huwa watoto wanaharibika akianza kuonekana na michepuko. Mwanaume unaweza usirudi nyumbani ukaja asubuhi na familia ikawa bado ipo intact ila mke wako akirudi saa 6 usiku, hiyo familia inaondoka. Kwa hiyo kidendo cha kuitoa kwa mtu hiyo K iliyotumika kuleta hivyo viumbe vya mungu ni ishara kuwa hafai.
Mwanamke akianza kuigawa utagundua tu maana wenzetu hawawezi chezea timu mbili. Atabdilika kama ulivyosema. Hata malezi ya watoto hasa wa Kike yatabadilika na kama alikuwa mkali atabadilika ili kuficha madhambi yake. Tushayaona yalitupitiaWapo wamama wapo responsible kwa watoto zao na bado mbususu wanatoa nje huko.
As a matter of fact ni ujinga mwanaume kujiaminisha kwamba mbususu ni yako weye peke to begin with. Suala ni kwamba kama ataweza ficha nisijue sawa ..which i also bliv ni impossible maana kuna patterns zitabadilika tuu.
All in all tusichukulie poa suala la kiwa na watoto na ndoa. Kiujumla kila taasisi na kanunu zake. Ndoa was meant for watu wawili ambao wanaoana waki bikra hiyo ndio namba one condition.
1. Kimsingi, kiasili upendo huwa haupaswi kunyauka kwa sababu si kitu kinachotakiwa kubadilika. Maana yake ni kuwa upendo huwa hauna sababu, hauna vigezo, ukisema au amua kuwa umempenda mtu au kitu, there should be nothing to alter that.Natamani kujua, huu upendo unanyaukaje? Imagine, mmetongozana miaka 5, mmeona miaka mitatu mnaachana, inaleta picha gani? Kwamba miaka yote mitano mlikuwa mnavunga usakara??? Au kuna kitu kilikufanya umpende mwanamke/mwanaume, baada ya kuoa au kuolewa hukioni tena? Na kama hukioni kwa nini usilize kimeenda wapi ili akirudishe?
Wengi huwa wanakuwa na mtazamo hafifu sana wa madhara yatakayotokea baada ya kuachana,ila inapotokea mmesha achana ndio wanakuja kugundua kuna zaidi ya walichokuwa wanajua...Salaam great thinkers
Talaka zimekuwa gumzo/talk of town.
Kwa mtazamo wako, unahisi nini kinapelekea, watu waliopendana, wakaoana kwa hiari/utashi wao bila shuruti, wakaishi na kupata watoto, wanaamua kuachana kila mtu ashike hamsini zake?.
Sitaki kuhukumu, naamini kila mtu ana sababu muhimu inayomfanya afanye maamuzi ya kuachana.
Je unafikiri maamuzi haya yana hekima? Je kabla ya kuachana huwa tunaangalia matokeo ya kuachana kwetu? Hao watoto tunaweka kwenye hali gani? Familia hizi mbili zilizokuwa connected na wanandoa tunaziweka katika hali gani?
Nawasilisha.
Huu mjadala nauandaa kwenye ZOOM, wale mtakaokuwa interested kujoin naomba tuma DM, to confirm your patcipation.Tunahitaji mjadala mpana kwenye hili