Je kuoa mwanamke aliyesoma sheria linaweza kuniletea madhara siku Za mbeleni?

Je kuoa mwanamke aliyesoma sheria linaweza kuniletea madhara siku Za mbeleni?

Bolotoba

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2024
Posts
4,539
Reaction score
10,372
Wakuu, tupeane uzoefu kwa walio wahi kuwa kwenye mahusiano ya muda mrefu na wanawake waliosoma sheria

Mapungufu yao yapo wapi🤔
Je mwanamke akipata kazi hawezi kunisaliti na kutaka wenye elimu zaidi phds na maboss?

Vipi kuhusu ujuaji ndani ya family?
Vipi ikitokea nimetumia mabavu na ukali ndani? Hatotumia kama fimbo (NB sijawahi piga mwanamke Ila Nina tabia ya kufoka foka)?

Tupeane experience ninaye mchumba Ila ndo kwanza kamaliza Chuo she is 22?
 
Ili upewe mbususu itabidi utetee hoja yako kwanza

Ni mwendo wa logic tu na kuprove ...no speculation
 
Mimi sijawai kuwa na ndoto ya kuoa mwanasheria kabisa namuona mwanasheria mmoja ni mdada ni mjuaji af anajiona yeye ndio amesoma af anajiona mkubwaa makilio yulee
 
Kizazi chetu sasahivi nikazi sana kuishi miaka mitano namwenza bila kugombana, kudumu inategemea na reaction za kila mmoja dhidi ya magomvi and vice versa is true.
Mimi binafsi kuna baadhi ya maamuzi napenda kuyafanya kama MWANAUME, nikisema nimesema.
Kwa huu udhaifu sidhani kama nitawezana na mwanasheria.

Naamini anaweza ishi kama mke ila siku tukigombana atahitaji atumie sheria kwenye maanuzi niliofanya kama Mwanaume
 
Kizazi chetu sasahivi nikazi sana kuishi miaka mitano namwenza bila kugombana, kudumu inategemea na reaction za kila mmoja dhidi ya magomvi and vice versa is true.
Mimi binafsi kuna baadhi ya maamuzi napenda kuyafanya kama MWANAUME, nikisema nimesema.
Kwa huu udhaifu sidhani kama nitawezana na mwanasheria.

Naamini anaweza ishi kama mke ila siku tukigombana atahitaji atumie sheria kwenye maanuzi niliofanya kama Mwanaume
Kwamba umemcheat anawahi mahakamani
 
Kwamba umemcheat anawahi mahakamani
Changamoto na hapo sheria inataka mwanamke aliekufuma nae amlipe fidia atayoitaka.
Mambo ya sheria ni Changamoto japo faida yake nikama kweli anaipenda taaluma yake sio wale wa mradi kazi nikazi anaweza fanya uwe smart sana kwenye mambo yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom