The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 37,882
- 82,571
Hiyo ni bahati tu cz unapita kwa wasio nao we jichanganye cku af uone.Hata mimi najishangaa! Nilikuwa naogopa kupima kumbe sina ila nilishapitia wengi na bado kila mwezi nacheki hakuna
Hiyo ni bahati tu cz unapita kwa wasio nao we jichanganye cku af uone.Hata mimi najishangaa! Nilikuwa naogopa kupima kumbe sina ila nilishapitia wengi na bado kila mwezi nacheki hakuna
Hao watu ni wachache sana duniani humu usiwasikilize wanaoongea ongea humu hamna lolote.Sawa kwa taarifa hii lakini ungenipa facts za kitaalamu kwanini haiwezi kuwa mimi ingefaa zaidi na pia ungesaidia wengi
Nilivyoelewa hapa kuwa siwezi kuwa mimi kwasababu wako wachache sana duniani na mimi siwezi kuwa katika hao wachache. Mmmmh bado sijapata sababu za kisayansi kwanini haiwezekani kuwa mimi ni mmoja wa hao wachacheHao watu ni wachache sana duniani humu usiwasikilize wanaoongea ongea humu hamna lolote, hyo kukutana na wanawake wengi afu hujapata ukimwi kusikudanganye ndg ni kutokana na ukweli kwamba wenye ukimwi ni wachache sana duniani hapa na pia ni bahati tu km wengi inavyowatokea kwmb wanatembea na wanawake wengi lkn bado hawana virusi ila ww km unadhani upo hvyo basi fanya kitu kimoja tafuta mwanamke mwenye virusi af tembea naye rough zen ulete mrejesho humu.
Mkuu ukitaka kuamini kwamba ni ww au co ww endelea kuokota malaya mwisho utajua tu mkuu.Nilivyoelewa hapa kuwa siwezi kuwa mimi kwasababu wako wachache sana duniani na mimi siwezi kuwa katika hao wachache. Mmmmh bado sijapata sababu za kisayansi kwanini haiwezekani kuwa mimi ni mmoja wa hao wachache
Mimi wala sijawahi kuokota malaya hata siku moja na ni mtu mzima sasa. Tangu nizaliwe nimekuwa mtu mpole tu. The issue hapa lilikuwa suala la kitaalamu nadhani au labda mie ndo uelewa wangu mdogo pengineMkuu ukitaka kuamini kwamba ni ww au co ww endelea kuokota malaya mwisho utajua tu mkuu.
kweli?Hilo ni kweli kabisa mkuu, mimi nina ushahidi huo asilimia 100
Ninapokuambia nina ushahidi asilimia mia nina uhakika!! Nalo kwani hali hiyo ilinikuta mimi binafsi, nina shukuru mungu kuwa miongoni mwa watu hao wachache wenye bahati hiyo!!!kweli?
Na tunafaidi kweli!!! HahahaaahKwa hiyo ukipimwa ukakutwa na hayo mapungufu wewe condom kwako mwiko!!
Hiyo ndiyo inaitwa kilema faida. Kama mbunge anaeenda bungeni kwa sifa ya ulemavu.