mpinga shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,236
- 954
Kama mtumiaji wa Smartphone za Android ambaye hapendi Samsung, ningependa kujua kama kuna wakala wa SE hapa TZ au duka linali-specialize na simu za SE hususan Xperia range
mkuu, hakuna wakala mkuu!!Kama mtumiaji wa Smartphone za Android ambaye hapendi Samsung, ningependa kujua kama kuna wakala wa SE hapa TZ au duka linali-specialize na simu za SE hususan Xperia range
mkuu, hakuna wakala mkuu!!
mimi mwenyewe kuna Xperia x2 imenisumbua balaa!! xperia x8 nayo inaanza yaleyale!!
nunua samsung mkuu!