Sio make wangu! N mchepuko tu mkuuMkuu we piga mzigo, kula hiyo mbunye kisawa sawa. Mtoto atakaepatikana huyo huyo tu.
Kaa unajidanganya eti nimelala nae nimelala nae. Piga daily mtoto anatafutwa kwa jasho.
Umenisikitisha sana, toka ametoa vijit mwezi wa sita amemla mara mbili tu? Pole.
Mimba ipo, sijajua jinsiaHabarini,kuna dem alikuw anatumia uzazi was mpango(vjit) kakitoa mwz wa6 ,mwez wa 7 tar 21-24 brdi,nkalal nae tar 28,mwz huu, pia kaanz brid tar 11-14,nmelala nae Leo tar 21 je kuna uwezekan wa kushka mimba? Na kam ndio ntegemee jinsia gan ya mtoto?
Inabidi ujue mzunguko wake wa hedhi ni wa siku ngapi na ni siku ipi ana ovulate.Habarini,
Kuna mwanamke alikuwa anatumia uzazi wa mpango(vjiti), kakitoa mwezi wa 6, mwezi wa 7 tarehe 21-24 brdi,nikalala nae tar 28, mwezi huu, pia kaanza brid tar 11-14,nimelala nae Leo tar 21.
Je, kuna uwezekano wa kushika mimba? Na kama ndio nitegemee jinsia gani ya mtoto?
Kwa saiv mzunguk haujakaa sawa,mwz wa7 kaanz rar21 na mwezi huu kaanz tar 11Inabidi ujue mzunguko wake wa hedhi ni wa siku ngapi na ni siku ipi ana ovulate.
Ukisha fahamu hayo ndo uje tukusaidie kujua kama kuna uwezo alipata mimba au la!
Hakuna uwezekano labda uanze KUMKANDAMIZIA kuanzia TAREHE 23 hadi25Habarini,
Kuna mwanamke alikuwa anatumia uzazi wa mpango(vjiti), kakitoa mwezi wa 6, mwezi wa 7 tarehe 21-24 brdi,nikalala nae tar 28, mwezi huu, pia kaanza brid tar 11-14,nimelala nae Leo tar 21.
Je, kuna uwezekano wa kushika mimba? Na kama ndio nitegemee jinsia gani ya mtoto?
HAKUNA uwezekano labda uanze KUMKANDAMIZIA kuanzia TAREHE 23 hadi 25 August Happ matumaini yatakuwepo mkuuHabarini,
Kuna mwanamke alikuwa anatumia uzazi wa mpango(vjiti), kakitoa mwezi wa 6, mwezi wa 7 tarehe 21-24 brdi,nikalala nae tar 28, mwezi huu, pia kaanza brid tar 11-14,nimelala nae Leo tar 21.
Je, kuna uwezekano wa kushika mimba? Na kama ndio nitegemee jinsia gani ya mtoto?
Kuna uwezekano ukapata baby girl hapoHabarini,
Kuna mwanamke alikuwa anatumia uzazi wa mpango(vjiti), kakitoa mwezi wa 6, mwezi wa 7 tarehe 21-24 brdi,nikalala nae tar 28, mwezi huu, pia kaanza brid tar 11-14,nimelala nae Leo tar 21.
Je, kuna uwezekano wa kushika mimba? Na kama ndio nitegemee jinsia gani ya mtoto?
Hahaha eti nimelala naeHabarini,
Kuna mwanamke alikuwa anatumia uzazi wa mpango(vjiti), kakitoa mwezi wa 6, mwezi wa 7 tarehe 21-24 brdi,nikalala nae tar 28, mwezi huu, pia kaanza brid tar 11-14,nimelala nae Leo tar 21.
Je, kuna uwezekano wa kushika mimba? Na kama ndio nitegemee jinsia gani ya mtoto?
Bora mimba isipatikane kwanza, baba wa mtoto mtarajiwa bado hajajua kuandika vizuri.
Bora mimba isitunge maana baba mtoto uswahili mwingi na utoto mwingi