MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,588
sijakuelewa...............sasa ka tutang'ang'ania wa kike tu hapo baaadae itakuaje nani mbegu za kuzalisha wa kike wengine watatoka wapo mana nadhani kizazi cha wakiume kitapotea.
nendeeeni mkazaliane na kuijaza dunia
Mi wacwac wangu kwa mtoto wakike coz ndo wanachakachuliwa mapema.
Aksante WOS nashukuru kwa kunielewa vema. Yaani Dada acha tu ie ninareflect attitude aliokuwa nayo Baba yangu yaani ninamwona kabisa anavyotahayari but as you know mzazi ni mzazi hawezikiri kuwa alikosea na mimi kama mtoto au rather to put it in this way ... binti yakek siwezimsuta but mh.....yataka moyo kusema ukweli.MJ1
Nakusoma vizuri mno na hata mimi nashangaa sana kusikia watu wanavyong'ang;ania kuzaa watoto wa kiume na kudharau watoto wa kike.
Binafsi kama wewe mimi ni mzaliwa kwa kwanza tena mwanamke.Baba yangu anaheshimu sana mtoto wa kike na wanawake na hata kujali kuwekeza kwa watoto wa kike. Inalipa kwa kweli.
Kuzaa watoto wa kiume ni nzuri lakini isiwe kama ndio lazima sana.Tujali watoto wote bila kubagua.Ukikosa mtoto wa kiume basi usisikitike sana.Wekeza kwa mtoto wa kike itakupa faraja.
Mi wacwac wangu kwa mtoto wakike coz ndo wanachakachuliwa mapema.
Aksante WOS nashukuru kwa kunielewa vema. Yaani Dada acha tu ie ninareflect attitude aliokuwa nayo Baba yangu yaani ninamwona kabisa anavyotahayari but as you know mzazi ni mzazi hawezikiri kuwa alikosea na mimi kama mtoto au rather to put it in this way ... binti yakek siwezimsuta but mh.....yataka moyo kusema ukweli.
Mzee wangu mimi ni msomi si kiviiile but amesoma na alishashika nyadhifa nyingi tu kubwa kubwa I can tell you he went far to the extent ya kumuintroduce mdogo wangu (wa Kiume) kama first born and mie it was like I wasnt exist kabisa (not to sy the mistreatment) sasa hivi ninaonekana wa maana.mh.
Just thinking how many people in Tanzania still have such mentality.
Mwj'1,
...hao wanaong'ang'ania mtoto wa kiume wanafuata matamanio ya nafsi tu. Mtoto ni mtoto, ...muhimu awe ni mwenye afya njema, na awe mwenye upendo na huruma kwa wazazi na ndugu zake. Haijalishi ni wa kike au wa kiume.
Kwani watoto wa kike hawawezi kurithishwa na kurithi mali za wazazi/familia yao? Kama kuna watu wanaofikiria hivyo basi hizo fikra zao ni mbovu, haribifu,na zenye kudumaza jamii!!!!!!
Aksante Via Mobile kwa kuwa miongoni mwa wachache wanaoligundua hili. Ni kweli kabisa kuwa bado kuna wenye uelewa kuwa Mtoto ni wa kiume na kuwa ukipata wa kike unaikuzia familia nyingine(Watakaomuoa). So wa aina hii hawaoni umuhimu wa watoto wa kike na hata kuwaendeleza huwa ni kwa shida kiasi flani.
Mimi nilikuwa ninaambiwa live....pocket money ya nini?? wakati hufiki popote utaishia kuzalishwa tu kama si kuolewa soon after sekondari?? Na hata nilipomaliza high school kabla matokeo hayajatoka nilikwishajudgiwa kuwa sitaiingizia hasara familia kwa kunipeleka private colleges au government ones ambazo kutakuwa na cost sharing..................nilipewa live nijiandae kuolewa na kama nina mchumba basi nimwambie ajiandae kuleta posa iwapo sitafaulu kiasi cha kupata udhamini wa serikali!!
Na hapo si kwamba mzee hakuwa na elimu?? La hasha alikuwa msomi tu kwa kiwango chake ambacho kilimwezesha kushika hizo nyadhifa za juu. But mentality aliyokuwa nayo juu ya watoto wa kike mh...........Sasa najaribu kufikiria wale ambao hawakubahatika kupata upeo huo na ambao bado wamesheheni mentality za Mtoto ni wa kiume.....
Nikiyakumbuka hayo ninatamani nimwulize mzee wangu but ninaelewa position yangu kifamilia.