MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
- Thread starter
- #41
......Hii tabia ya kuona mtoto wa kiume ni bora kuliko wa kike mie inanikera sana, tena utakuta watu ni wasomi lakini bado tu wana wanachambua jinsia ya mtoto.
Mie mwenyewe nilijionea nilipopata mtoto wangu, rafiki za mume wangu walipokuja kumuona mtoto kila mtu anamwambia mume wangu eti ana bahati kwa kuwa kapata mtoto wa kiume....... cha ajabu hata kuna wamama nao wanasema hivyo hivyo....aiseeeee walikuwa wananiudhi kweli kweli halafu ni watu walioelimika haswa.
Watu hawajui kwamba siku hizi mtoto ni mtoto ilimradi awe mzima wa afya, mpe elimu bora ili aje kuwa na future nzuri maishani mwake.
Aksante Pretty
Ni kweli kabisa hata sie kina maam tumeshaambukizwa huu ugonjwa but in reality mtoto ni mtoto.