Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,774
- 3,460
Habari za majukumu wakuu..
Nimekuja na swali langu hapa ambalo limetokana na mke wangu..
Ishu ni hivi..
Wife nimemwambia sikukuu inakaribia na mishahara hatuwezijua itatangulia au sikukuu ndo itatangulia?
Nimemwambia ikiwa bado siku moja nenda benk katoe mahitaji watumie nyumbani na kwa bibi yangu mzaa mama (maana anajitegemea).
Sasa alichonijibu ni kwamba "Inamaana nyumbani kwetu hakuna thamani?" Sijamjibu kitu chochote..
Ifahamike kwamba nyumbani kwao ana mdogo wake anajipata tena sana. Maana ni mfanya biashara na ana uwezo wa kulisha nyumbani kwao na pia bado hajaowa..
Na lingine ana kaka yake ni mfanyakazi wa serikali na pia hajaowa na anajipata.. Sasa mimi kinachonikera mimi nihudumie nyumbani na kwangu na istoshe nihudumie na kwao ilihali ndugu zake wana kipato kunizidi mimi?
Hapo wakuu hili limekaaje? Nasubiri michango yenu sijakataa kutoa kwao ila kawa na haraka sana.. Swali hili angeniuliza pale tu ambapo alikua anaenda kutekeleza hayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuja na swali langu hapa ambalo limetokana na mke wangu..
Ishu ni hivi..
Wife nimemwambia sikukuu inakaribia na mishahara hatuwezijua itatangulia au sikukuu ndo itatangulia?
Nimemwambia ikiwa bado siku moja nenda benk katoe mahitaji watumie nyumbani na kwa bibi yangu mzaa mama (maana anajitegemea).
Sasa alichonijibu ni kwamba "Inamaana nyumbani kwetu hakuna thamani?" Sijamjibu kitu chochote..
Ifahamike kwamba nyumbani kwao ana mdogo wake anajipata tena sana. Maana ni mfanya biashara na ana uwezo wa kulisha nyumbani kwao na pia bado hajaowa..
Na lingine ana kaka yake ni mfanyakazi wa serikali na pia hajaowa na anajipata.. Sasa mimi kinachonikera mimi nihudumie nyumbani na kwangu na istoshe nihudumie na kwao ilihali ndugu zake wana kipato kunizidi mimi?
Hapo wakuu hili limekaaje? Nasubiri michango yenu sijakataa kutoa kwao ila kawa na haraka sana.. Swali hili angeniuliza pale tu ambapo alikua anaenda kutekeleza hayo.
Sent using Jamii Forums mobile app