sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,989
- 4,162
Kanisa la wasabato ni miongoni mwa makanisa yaliyopotea, waliisha achwa na Mungu kama walivyoachwa wana wa Israeli kwa sababu ya kuukataa ukweli wanaopewa na Mungu. wamebaki kutishana kwa dalili za uongo.
