Keyser Söze;8186640 said:Stop copying from this page please https://www.facebook.com/ministry007
FEEL FREE TO SHARE THIS POST...
Mkuu hebu acha Ulofa Bana,
Hawa Jamaa Wenyewe wamesema,
Mkuu hebu acha Ulofa Bana,
Hawa Jamaa Wenyewe wamesema,
Keyser Söze;8186640 said:Stop copying from this page please https://www.facebook.com/ministry007
Kwa hisani ya watu wa #Facebook ......
Achana na huyo Lofa Mkuu.
Vipi, ulimalizana na mama wa "Karafiki" kako?
Lakini jamani turudi kwenye upande wa pili wa shilingi....yote hayo ni kwa ajili ya nini...mahusiano ni tunaweza kuyaita domestic agreement kwa lugha ya kisafa...sasa ikiwa mmeachana kwa sababu yoyote ile hakuna sababu ya kujengeana uadui. Nionavyo atabarikiwa zaidi asiye na kinyongo,ambaye anaweza kumfanya ex-whoever wake kuwa rafiki!
Mi sina Bwana, nina bibi.
Kweli mkuu kwa uzoefu wangu ni vigumu kutekeleza yote yaliyoorodheshwa. mtima lazima utauma ni kufanya yako na kuendelea na maisha.What for? Ukifanya haya yote inaoonyesha ni jinsi gani Ex wako bado anakuzuzua.
Keyser Söze;8186640 said:Stop copying from this page please https://www.facebook.com/ministry007