meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
Ukiongelea ufisadi uliotikisa Taifa huwezi kusahau ufisadi mkubwa na uliotikisa taifa ...yaani uchotwaji wa mabilioni ya fedha ya EPA.
kwa kumbukumbu zangu za kupitapita humu JF IMMA advocates iliwahi kutajwatajwa kwenye sakata hili.
Je Ukweli ni upi?
Je mwanasheria msomi TL ambaye alikuwa ni sehemu ya wanaharakati wa chadema anazungumziaje suala hili?
Naandika mada hii kutoka kwenye bandiko moja la mhenga wa JF.