Uhusiano kati ya suala la DPW, kutukanwa Rais na ugumu wa maisha

goodfool

JF-Expert Member
Oct 11, 2016
1,664
993
Watu wengi hasa vijana wamekua wakipinga kwanguvu na kwa lugha ngumu na msisitizo kuwa Bandari isipewe wawekezaji.

Je kuna uhusiano kuwa wengi wao na ndugu zao wananufaika na ajira za Bandarini na mishe mishe za pale ambazo wanahisi muwekezaji itakua ndo mwisho wa wao kula?

Je ukosefu wa ajira unachangia?

Je vijana wanapaswa kuwaamini wasiasa wanaoitumia fursa ya sakata hili kujinasibu kua ni wazalendo?

Je yupo mtanzania ambaye anaweza kua na UCHUNGU wa kweli pasipo kuhusisha TUMBO katika kutetea RASLIMALI za nchi?

Ni hayo.
 
Watu wengi hasa vijana wamekua wakipinga kwanguvu na kwa lugha ngumu na msisitizo kuwa Bandari isipewe wawekezaji.

Je kuna uhusiano kuwa wengi wao na ndugu zao wananufaika na ajira za Bandarini na mishe mishe za pale ambazo wanahisi muwekezaji itakua ndo mwisho wa wao kula?

Je ukosefu wa ajira unachangia?

Je vijana wanapaswa kuwaamini wasiasa wanaoitumia fursa ya sakata hili kujinasibu kua ni wazalendo?

Je yupo mtanzania ambaye anaweza kua na UCHUNGU wa kweli pasipo kuhusisha TUMBO katika kutetea RASLIMALI za nchi?

Ni hayo.
Maamuzi ya kisiasa yanaweza sababisha biashara zikue ama kufa
 
Maamuzi ya kisiasa yanaweza sababisha biashara zikue ama kufa
YES, na Kwa nchi yetu maamuzi ya Rais yanaakisi sana maisha halisi ya wananchi wake.Utashangaa watu wanaandamana eti mwenyekiti wa kijiji aondoke madarakani lkn hauwezi kusikia wameaandamana juu ya mahamuzi mabovu ya Rais au watendaji wake.
 
YES, na Kwa nchi yetu maamuzi ya Rais yanaakisi sana maisha halisi ya wananchi wake.Utashangaa watu wanaandamana eti mwenyekiti wa kijiji aondoke madarakani lkn hauwezi kusikia wameaandamana juu ya mahamuzi mabovu ya Rais au watendaji wake.
Tunaishi kwenye jamii mfu ambayo haiwezi kuhoji kwa sauti inayosikika
 
Watu wengi hasa vijana wamekua wakipinga kwanguvu na kwa lugha ngumu na msisitizo kuwa Bandari isipewe wawekezaji.

Je kuna uhusiano kuwa wengi wao na ndugu zao wananufaika na ajira za Bandarini na mishe mishe za pale ambazo wanahisi muwekezaji itakua ndo mwisho wa wao kula?

Je ukosefu wa ajira unachangia?

Je vijana wanapaswa kuwaamini wasiasa wanaoitumia fursa ya sakata hili kujinasibu kua ni wazalendo?

Je yupo mtanzania ambaye anaweza kua na UCHUNGU wa kweli pasipo kuhusisha TUMBO katika kutetea RASLIMALI za nchi?

Ni hayo.
Je,unadhani wanaomtetea rais ktk hili hawasukumwi na njaa zao na kujipendekeza kwao??je unadhani wanamtetea rais kwa dhati au maisha magum na ukosef wa ajira vinawasukuma kiasi Cha kutaka dhambi itetewe na itakaswe hadharani??unadhan Ni wazalendo wa kweli au tayari wanapanga namna ya kujiingiza kwny kundi la wachache wanapanga kunufaika na keki yetu huku sie tukisubir ukoko???
 
YES, na Kwa nchi yetu maamuzi ya Rais yanaakisi sana maisha halisi ya wananchi wake.Utashangaa watu wanaandamana eti mwenyekiti wa kijiji aondoke madarakani lkn hauwezi kusikia wameaandamana juu ya mahamuzi mabovu ya Rais au watendaji wake.
Hao wananchi wana uelewa kiasi gani kuhusu uwezo wao wa kuandamana kumpinga Rais?Wamekuzwa,kuaminishwa na kuishi kwa kuambiwa nguvu ya Rais kwa kiwango kipi?Wanamlinganishaje Rais na mwenyekiti wa mtaa au kijiji?Vipi kuhusu nia na uwezo wao juu ya maamuzi kuhusu Rais?
 
Je,unadhani wanaomtetea rais ktk hili hawasukumwi na njaa zao na kujipendekeza kwao??je unadhani wanamtetea rais kwa dhati au maisha magum na ukosef wa ajira vinawasukuma kiasi Cha kutaka dhambi itetewe na itakaswe hadharani??unadhan Ni wazalendo wa kweli au tayari wanapanga namna ya kujiingiza kwny kundi la wachache wanapanga kunufaika na keki yetu huku sie tukisubir ukoko???
Watanzania wengi si hatupendi maandishi
 
Hao wananchi wana uelewa kiasi gani kuhusu uwezo wao wa kuandamana kumpinga Rais?Wamekuzwa,kuaminishwa na kuishi kwa kuambiwa nguvu ya Rais kwa kiwango kipi?Wanamlinganishaje Rais na mwenyekiti wa mtaa au kijiji?Vipi kuhusu nia na uwezo wao juu ya maamuzi kuhusu Rais?
Wabongo tunajali "nimekula nimeshiba mim na familia yangu" hata wanaonyonya Bandari wanatetea kwa maslahi hayo.
 
Hao wananchi wana uelewa kiasi gani kuhusu uwezo wao wa kuandamana kumpinga Rais?Wamekuzwa,kuaminishwa na kuishi kwa kuambiwa nguvu ya Rais kwa kiwango kipi?Wanamlinganishaje Rais na mwenyekiti wa mtaa au kijiji?Vipi kuhusu nia na uwezo wao juu ya maamuzi kuhusu Rais?
Elewa kilichoandikwa mkuu, maisha ya mtanzania yanategemea sana na maamzi/sera za rais aliyoko madarakani, kubali au kataa, sera au maamuzi ya Rais yakiwa mabaya lazma mwananchi wa chini aathilike, kubali au kataa lkn huo ndio uhalisia.
 
Ni win win situation,,
Rais anafanya kwa ajili ya Taifa lakini hawezi kuacha kuangalia pia maslahi yake binafsi katika kila signed,,

Wanasiasa wanaomsapoti rais nao pia wanafanya hivyo kwa maslahi ya Taifa lakini pia hawawezi kuacha kutetea maslahi yao binafsi katika mkataba husika,,

Wanasiasa wanaompinga raisi nao pia wanafanya hayo kwa maslahi ya Taifa lakini pia hawawezi kuacha kupigania maslahi yao binafsi kwenye "mgao" wa DPW,,

Mimi na wewe kabwela mwenzangu tumebaki kushabikia mnyukano wa wenye ngumu za kimamlaka dhidi ya wenye sauti,, siku wakikaa meza moja na "kumalizana" hutosikia kelele si wanasiasa wala watanganyika sote tutaufyata na kukubali liwalo na liwe bora tunapumua,,

Ushauri wangu kwenu tumieni vizuri kila nafasi mnazopata huko maofisini tunyukeni muwezavyo maana hata sisi makabwela tunapenda kusifia zaidi "waliotumia" vibaya madalaka na kujitajilisha kuliko wanaostaafu wakiwa masikini kwa sababu ya uadilifu wao wakati walipopata nafasi,,
IMG_20230426_112358.jpg
 
Elewa kilichoandikwa mkuu, maisha ya mtanzania yanategemea sana na maamzi/sera za rais aliyoko madarakani, kubali au kataa, sera au maamuzi ya Rais yakiwa mabaya lazma mwananchi wa chini aathilike, kubali au kataa lkn huo ndio uhalisia.
Ndivyo ulivyoandika.Umewahi kujiuliza kama ni haki na halali wananchi kutegemea maamuzi ya Rais badala ya kuegemea katiba isiyo na mawaa?Yupi awe juu na muamuzi?Katiba bora ya nchi au maamuzi ya Rais?
 
Back
Top Bottom