Mbona umechagua kwa kudonodonoa lazima itakuwa upo sahihi tu ukidonodonoa.
Ningekuona wa maana ungefanya hivi ukachukua list ya ma Billionaire 100 duniani then ufanye study yako, ma billionaire 20 Tanzania then fanya study, chukua maBillionaire 30 Africa then fanya study then uhitimishe hapa sio unadonoa eti Bakhresa je Mo unamuachaje, eti Bill je Jeff kwanini umeache, acha zako.