Sijakutusi wala kukuhutu.Bibi angu mbona unanitusi? Ndivyo Mtume alivyokufunza?
Huyo Jamaa ana jina lake halisi, mzungu kichaa ni jina lake lake la kisanii katika muziki wa bongo fleva, ni mzungu anayejua kiswahili ila ana jina lake la kizunguMzungu kicha,nazani hili jina la kienyeji kabisa
Hebu tuhoji hapa, wengi wetu tuna majina ya Peter, Anna, John, Hamad, Ashura, Hassan nk. Haya ni majina ya kigeni na tumeyatupilia mbali majina yetu mazuri ya Urio, Nyangeta, Ndikumana, Chacha, Bhoke, Masawe, Kabwe nk.
Je, hawa wageni waliotuletea hizo tamaduni zao na kuziona zetu za kishamba wana majina Kama ya asili yetu?
Wazazi vijana tunakwama wapi kuwapa majina asilia watoto tunaowazaa?
Tunahitaji nini walau hili la majina tujikomboe?
Hili nalo unashupaa Faiza ?!. Hii east Africa waarabu wamekuja kama wazungu walivyokuja. Rudi kwenye hoja Je haya majina ni ya kwetu ?!. Na kwanini tumeyatosa ya kwetu ?!. Kwanini huwezi kusilimu ukiwa Onyango, Marwa, Mughwai nk nk ?! Mpaka ulazimike kuitwa majina usiyo na asili nayo !!
Usitake kujifanya mjuaji sana. Unataka kupotosha watu hapa. Unachotaka kusema naomba unioneshe kinuhusiano gani na computer language au coding?Si kweli. Soma kuhusu algorithms. Bila algorithms hauna kompyuta wala simu hizi za leo.
Soma ujionee ni na nani mvumbuzi wa algorithms.
Sijuwi huwa mnakurupuka vipi kwa mamvo msiyoyaelewa na kujifanya mna majibi ya kila kitu bila kuweka "citations". Mambo mengine siyo ya kukurupuka.
Soma hiyoooo...
Hebu tuhoji hapa, wengi wetu tuna majina ya Peter, Anna, John, Hamad, Ashura, Hassan nk. Haya ni majina ya kigeni na tumeyatupilia mbali majina yetu mazuri ya Urio, Nyangeta, Ndikumana, Chacha, Bhoke, Masawe, Kabwe nk.
Je, hawa wageni waliotuletea hizo tamaduni zao na kuziona zetu za kishamba wana majina Kama ya asili yetu?
Wazazi vijana tunakwama wapi kuwapa majina asilia watoto tunaowazaa?
Tunahitaji nini walau hili la majina tujikomboe?
Msikitini Nako Huwapeleki?
AhahahaaaaNi upumbavu uliopitiliza, yani mtu asilimu halaf aitwe onyango,marwa,Tata, mughwai sijui mwendawazimu! Wakati kuna majina ya kiarabu/kiislamu mazuri kuliko majina yote duniani!
Ukisilimu ndio utaona umuhimu na uzuri wa majina ya kiarabu/kiislamu.
Miaka 10-20 tutegemee majina ya kichina,nao wanakuja kwa kasi.Ukiwa na pesa kika kitu kinawezekana.Wachina wanamkakati mkali wa kutawala.Hebu tuhoji hapa, wengi wetu tuna majina ya Peter, Anna, John, Hamad, Ashura, Hassan nk. Haya ni majina ya kigeni na tumeyatupilia mbali majina yetu mazuri ya Urio, Nyangeta, Ndikumana, Chacha, Bhoke, Masawe, Kabwe nk.
Je, hawa wageni waliotuletea hizo tamaduni zao na kuziona zetu za kishamba wana majina Kama ya asili yetu?
Wazazi vijana tunakwama wapi kuwapa majina asilia watoto tunaowazaa?
Tunahitaji nini walau hili la majina tujikomboe?
Uzuri was hayo majina ni nini? Na ubaya wa Onyango ni nini? Mtu akisha kariri dini akili hupungua,uwezo wa kufikiri hupungua,uwezo wa kutafakari hupungua nk.Waislamu humanishwa mambo tu bila kuhoji,hata ukihoji hutapata jibu maana alieleta ashajifia miaka mingi.Ahahahaaaa. Ndiyo mkubali kuwa wa Africa tumekuwa watumwa wa fikra. Kwanini majina ya ki Arabu yawe mazuri kuliko ya ki jaluo ?!. Uzuri wa uarabu ni upi kuliko ule usukuma ?!.
Hawa watu waliwatawala pia wahindi lakini wahindi wamebaki na culture yao. Hivyo hivyo wa Japan , Korean etc. Lakini mwaAfrica kwa sababu ya umasikini wake ameacha kila kitu cha asili yake kwa kuambiwa ni umizimu. Kwamba hata majina ya babu zetu ni za mizimu
Bongozozo sio mzungu, ni chotara kama Obama alivyoYupo Bongozozo
Hilo jina la mabala family alipewa na watu wa hapahapa TanzaniaRichard Mabala ni Mwingereza na huwa anaandika kwa jina la Makengeza.
Real hii inaudhi. Na brain zetu zikakubali tu kirahisi! Wahindi, Wachina au wakorea hutasikia huu upuuzi wa kutupa majina Yao kandoAhahahaaaa. Ndiyo mkubali kuwa wa Africa tumekuwa watumwa wa fikra. Kwanini majina ya ki Arabu yawe mazuri kuliko ya ki jaluo ?!. Uzuri wa uarabu ni upi kuliko ule usukuma ?!.
Hawa watu waliwatawala pia wahindi lakini wahindi wamebaki na culture yao. Hivyo hivyo wa Japan , Korean etc. Lakini mwaAfrica kwa sababu ya umasikini wake ameacha kila kitu cha asili yake kwa kuambiwa ni umizimu. Kwamba hata majina ya babu zetu ni za mizimu
Uzuri
Uzuri was hayo majina ni nini? Na ubaya wa Onyango ni nini? Mtu akisha kariri dini akili hupungua,uwezo wa kufikiri hupungua,uwezo wa kutafakari hupungua nk.Waislamu humanishwa mambo tu bila kuhoji,hata ukihoji hutapata jibu maana alieleta ashajifia miaka mingi.
Sia ni jina la ughaibuni huko.Sia nimewahi kuona mzungu ana hilo jina