FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,116
- 107,604
Sijakutusi wala kukuhutu.Bibi angu mbona unanitusi? Ndivyo Mtume alivyokufunza?
Nimekueleza tu kuwa hata hizi herufi unazotumia ni za kigeni. Achana nazo.
Ukishindwa basi ni punguani wa uhakika kabisa.
Baniani mbaya kiatu chake dawa?