Je, kuna mtanganyika mwingine mwenye ujasiri?

Je, kuna mtanganyika mwingine mwenye ujasiri?

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,698
Reaction score
7,884
Kwa kweli kuamua kuacha mikate na siagi na kuamua kutoka kwenye himaya ni kitendo kitakatifu sana.
Wote waliobaki nikiwaangalia wamebaki wapiga zumari na machawa ...
Unapopewa nafasi na kisha nafasi hiyo umewekwa kama kivuli ni sawasawa na Zombi tu hakuna tofauti...
Katiba ya Kambarage ndio iliyotufikisha hapa.....
 
Bado bingwa mmoja yupo nadhani ujerumani na anazurura zurura nchi za scandnavia na kama sio mchaga atakuwa ni mtu wa manyara au Arusha. Mjuaaji huyo amechukua nafasi ya mange huko mjini insta. Mfuatilieni
 
Kwa kweli kuamua kuacha mikate na siagi na kuamua kutoka kwenye himaya ni kitendo kitakatifu sana.
Wote waliobaki nikiwaangalia wamebaki wapiga zumari na machawa ...
Unapopewa nafasi na kisha nafasi hiyo umewekwa kama kivuli ni sawasawa na Zombi tu hakuna tofauti...
Katiba ya Kambarage ndio iliyotufikisha hapa.....
Wantanganyika wenzetu waliobaki watatuuza Zanzibar

1.Paul Makonda
2.Paramagamba Kabudi
3.Lameck Nchemba
4.Wasira Stephan
 
... ugonjwa mbaya unaotusumbua ni UMIMI!
Ukijiona una akili sana basi hutaki kuitumia akili yako ikamfaa unayemuona mjinga bila kujitapa na kumuumbua!
Ukijiona una umati nyuma yako unakosa utu na kutaka kuutumia umati huo kutweza utu wa wenzio!
HATUFIKI MBALI!
 
Back
Top Bottom