Kaka mwisho
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 402
- 169
Watalaam na wazoefu je kuna madhara yoyote simu itapata ikiwa unaitumia wakati unachaji?
Madhara hamna zaidi ya kuua battery taratibuWatalaam na wazoefu je kuna madhara yoyote simu itapata ikiwa unaitumia wakati unachaji.?
Basi ata kuzilalia simu kwa kuziweka kaenye foronya nimegundua jana zinakua zina heat duuh hii nayo s inaweza ua simuKifupi mkuu ni joto, Joto ndio linaua simu na Battery, kama simu inapata Joto sana unapofanya hio activity ujue kuna madhara
Ndio kifaa cha electronic ukikifunika kinakuwa cha Moto na inaleta madhara,Basi ata kuzilalia simu kwa kuziweka kaenye foronya nimegundua jana zinakua zina heat duuh hii nayo s inaweza ua simu
Unaua betri vizuri tu, mimi ni mhanga wa hii tabia na cha moto nimekiona mpaka sasa nina simu imekufa betri kwa hii tabia yaani nikisema niitoe kwa chaji niitumie basi ntatumia masaa mbili tu inazima.. Kutoka kudumu kutwa nzima mpaka masaa 2 ni revolution kubwa sana... Simu nmedumu nayo toka 2018 tu!Watalaam na wazoefu je kuna madhara yoyote simu itapata ikiwa unaitumia wakati unachaji?
Acha mara moja, subiri simu ijae ndiyo utumie hasa kwa zile heavy activities usijaribu kutumia meanwhile simu ipo chaji..Hako ka tabia ninako sana, hapa nilipo natumia simu huku ikiwa kwenye chaji.
Itabidi nijitathmini mara mbili mbili.
Sawa sawa mkuu,Acha mara moja, subiri simu ijae ndiyo utumie hasa kwa zile heavy activities usijaribu kutumia meanwhile simu ipo chaji..
Kuchaji simu(smartphone) kwa umeme wa solar kuna madhara yoyote kwa simu itapata hususani Battery.Kifupi mkuu ni joto, Joto ndio linaua simu na Battery, kama simu inapata Joto sana unapofanya hio activity ujue kuna madhara
Simu hata haijui inachajiwa na solar ama umeme wa kawaida, cha muhimu ni charger yako tu ina quality gani na inapeleka umeme kiasi gani, na simu isipate joto.Kuchaji simu(smartphone) kwa umeme wa solar kuna madhara yoyote kwa simu itapata hususani Battery.
Chief charger ambayo inachaji very slowly ina athari yoyote kwa battery la simu?Simu hata haijui inachajiwa na solar ama umeme wa kawaida, cha muhimu ni charger yako tu ina quality gani na inapeleka umeme kiasi gani, na simu isipate joto.
Tofauti ipo,Kutumia cm ikiwa chatg hamna tofaut na ukitumia laptop ikiwa charg
Chief charger ambayo inachaji very slowly ina athari yoyote kwa battery la simu?
Logic mkuu ni joto, kama Charger ikichaji slow kunakuwa hakuna joto ina maana hakuna madhara makubwa hapo.Chief charger ambayo inachaji very slowly ina athari yoyote kwa battery la simu?
Zote zina cooling system sema tofaut yake ni ukubwa tu, anyways my point ni kuwa ata laptop ikiwa charg uku unatumia na ikawa hot kinachoharibika mostly ni betry tu, maana ion battery hazitak joto wala bardiTofauti ipo,
Tofauti ipo kwenye mfumo mzima wa kupoza kifaa husika
Kagua laptop yako utaona cooling system yake ilivyo, ndio unawezesha laptop kuendelea kutumika 24/7, bila kuleta madhara kwa kifaa husika.
Ata cm inatumika 24/7 kaka,Tofauti ipo,
Tofauti ipo kwenye mfumo mzima wa kupoza kifaa husika
Kagua laptop yako utaona cooling system yake ilivyo, ndio unawezesha laptop kuendelea kutumika 24/7, bila kuleta madhara kwa kifaa husika.
Madhara yapo endapo sim itakuwa inapat jotoo. Hapo utakuwa unauaa battery. Ila Lithium ion battery zko friendly sanWatalaam na wazoefu je kuna madhara yoyote simu itapata ikiwa unaitumia wakati unachaji?