Amato Ngowi
Member
- Apr 15, 2020
- 9
- 6
Habarini ndugu zangu natumai mko vyema na majukumu yenu ya kila Siku ya maisha. Ningependa kutumia nafasi hii kupewa elimu juu ya kilimo cha mahindi.
Swala langu limejikita sana katika kufahamu, Je Kuna madhara yeyote yatakayo pata mahindi yasipopata au kuwekewa udongo baada ya kutumia sumu ya kuangamiza magugu ambayo sumu hiyo inauwa magugu na kuacha mahindi pekee?
Sent using Jamii Forums mobile app
Swala langu limejikita sana katika kufahamu, Je Kuna madhara yeyote yatakayo pata mahindi yasipopata au kuwekewa udongo baada ya kutumia sumu ya kuangamiza magugu ambayo sumu hiyo inauwa magugu na kuacha mahindi pekee?
Sent using Jamii Forums mobile app