BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,230
Mie nimeipenda hiyo sentensi tu....
Unaruhusiwa kunitukana kama umeona nina kosa lolote.
Unaruhusiwa kunitukana kama umeona nina kosa lolote.
Pole Sana mkuuHapa nilipo nina hasira maana mtu mzima kama mimi kudanganywa kweupeeeee inauma sana.
Nyongeza ipo mwezi huu nnauhakika 100%
Hapa kaz tu Kama Korea kaskazini,ukitaka nyongeza ya mishahara acha kaz nenda kajiajiri."Nasitisha ajira na nyongeza za mishahara kwa mwezi mmoja au mmoja na nusu HAITAZIDI MIEZI MIWILI"
Wakati huo ilikuwa ni juni 13 hata kama si mtaalamu wa hesabu lakini kwa haraka hadi ikifika sept 13 tayari imetimia miezi mitatu.
Swali langu; je mwezi huu nao watumishi wa uma wataendelea kusomeshwa hiyo namba ama watapewa increments yao kama sheria inavyosema au hapa kazi tu mafao uzeeni?
Na kama sivyo morali na ile ari ya kufanya kazi kwa moyo itakuwepo tena?
Unaruhusiwa kunitukana kama umeona nina kosa lolote.
Brain ya mfanyakazi wa tz mwezi huu iko programmed kupokea mshahara wenye nyongeza au kurejeshewa madaraja yaliyositishwa.Suala hili linatia hasira sana..
Lakin c TRA wanasema wanavunja rekodi ya kukusanya kila mwezi'Endelea kuota,wewe unaona meli zimepungua,serikali inahamia Dom,hiyo pesa itakuwepo kweli?
Hujadanganywa maana unajua ukweli hapa unaongopewa tuuh..!Hapa nilipo nina hasira maana mtu mzima kama mimi kudanganywa kweupeeeee inauma sana.
Wapi vina panda beimzalendo Wa kuishi kwa mshahara ule ule wakati vitu vinapanda bei?
Mkuu tuishi kwa nini!?? Hatutawaelewa this tym...Tuache kuishi kwa matumaini
Mkuu kila jambo na wakati wake. Ukifika wakati wa kuwaongezea mishahara watumishi wa uma utajuzwa. Angalau wewe una ajira na hivyo una mshahara ambao ndiyo sasa unapiga kelele uongezwe, wenzako kitaa wanasota ile mbaya kwa kukosa ajira hivyo subiri wao waajiriwe kwaza ndipo serikali ifikirie kukuongeza wewe mshahara.
mkupuo Mimi nadai nyongeza kwa mujibu Wa sheria si vinginevyoWapi vina panda bei