MjombaRiziki
Senior Member
- Feb 14, 2013
- 147
- 130
- Thread starter
- #21
Mkuu Peter Lemi Ahsante kwa Ushauri Mzito ulionipa,ni kweli kulingana na Matokeo yake anaonekana ni wa Arts na huku Sayansi ni kama namlazimisha. Naendelea kukusanya Ushauri wenu ili tuweze kufanya maamuzi Sahihi!!