Je, kuna Biblia katika Korea Kaskazini?

Je, kuna Biblia katika Korea Kaskazini?

HAKI KWA WOTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2022
Posts
2,691
Reaction score
2,303
Nchini Korea Kaskazini (Na. 1 kwenye Orodha ya Waliotazamiwa Ulimwenguni 2024) ambako Wakristo wanachukuliwa kuwa “tabaka la uadui,” kuwa na Biblia ni kinyume cha sheria . Kuwa na Biblia ndani yao kunaweza kuwa “ushahidi” unaohitajika ili kumkamata na kumfunga mtu (na familia yake) kwa kumfuata Yesu.

Mbona hawadhuriki kama kweli biblia ni kitabu cha Mungu kwa kukikataa??
 
Unazungumzia mataifa ya kipagani yasiyomjua Mungu, wale itikadi yao ni ukomunisti. Uliza kama kuna quran, si wapo karibu na waarabu huko Asia?
 
Unazungumzia mataifa ya kipagani yasiyomjua Mungu, wale itikadi yao ni ukomunisti. Uliza kama kuna quran, si wapo karibu na waarabu huko Asia?
Kumjua Mungu ni kiaje , umejuaje na wao wana Mungu wao?
 
Kumjua Mungu ni kiaje , umejuaje na wao wana Mungu wao?
ndio tunataka tumjue huyo mungu wao kama ni mkomunisti, mjamaa, mpepari, mhafidhina, mliberali, mdemokrasia au budha, tao na miungu mingine ya Asia ya kusini
 
ndio tunataka tumjue huyo mungu wao kama ni mkomunisti, mjamaa, mpepari, mhafidhina, mliberali, mdemokrasia au budha, tao na miungu mingine ya Asia ya kusini
Wa kwako unamjua ? Na unaweza mthibitisha hapa ili na mimi nimjue?
 
Aisee inabidi watu wa huko pia wahubiriwe injili na waokoke ,ndo yesu arudi
 
Back
Top Bottom