Je kulikoni IPP? Malalamiko na kuacha kazi kwa wafanyakazi

Status
Not open for further replies.
kazi kweli,
kuropoka kwa mengi kunamponza
acha wakimbie wote
mzee mnafiki sana yule


Acha waondoke wakati mzee mengi anaanzisha ippmedia hakuwa na datoo wala msaki, vijana wapo watachapa kazi tu.
 
Ku-resign kwa waandishi hao wawili...kulitarajiwa baada ya dada yao SAKINA kupigwa chini kutokana na fitna alizoanza kuziingiza IPP Media. Hawa wote walishikwa mkono na Sakina kupelekwa The Guardian wakitokea Mwananchi kwa ahadi ya mishahara minono.
Mkuu hivi unamfahamu vilivyo Loy... si mtu wa kushikwa mkono na sakina, hata kidogo
 
kuna jamaa wanataka kummaliza mengi katika njia zote, inabidi mjomba awe makini sana kwani hawa jamaa ni mafia na wako kwenye system nzima kuanzia serikalini mpaka kwa wananchi wa kawaida hivyo mtu mzima lazima awe makini sana

Vijana wa clouds FM wana msemo "VITA NI VITA MURAA; UNAKUJA NA JEMBE MJINI UNATAKA KULIMA RAMI " Kwa kweli mtu mzima ni lazima awe makini sana kwani he is dealing with the DON CORLEONES[ MAFIA KINGPINS}
 
Matatizo ni makubwa, sasa hivi IPP Media hata mishahara ya wafanyakazi ni shida, haitoki kwa wakati. Inasemekana waandishi ndiyo wanaolipwa tarehe 25 lakini wafanyakazi wengine tarehe kamili haijulikani. Wakati mwingine wanapewa kidogo kidogo.

Siamini haya yanayoandikwa kuwa wafanyakazi wa IPP media wanapata tabu kupata mishahara yao; naona hizi kama ni negative propaganda against Mengi. Juzi juzi tu Mengi ametoa mchango kwa kanisa huko Moshi kiasi cha shilingi millioni 400 atashindwaje kuwalipa mishahara wafanyakazi wake? Haingii akilini.
 
Ku-resign kwa waandishi hao wawili na mwingine anayeitwa Joyce Kisaka kulitarajiwa baada ya dada yao SAKINA kupigwa chini kutokana na fitna alizoanza kuziingiza IPP Media. Hawa wote walishikwa mkono na Sakina kupelekwa The Guardian wakitokea Mwananchi kwa ahadi ya mishahara minono. Nadhani ni kutokana na ushawishi wa Sakina huyo huyo ndio maana wame-resign. Bila shaka kuna kitu wanataka kufanya kwani katika siku za hivi karibuni wamekuwa karibu sana na RA na wapambe wake akina Zitto Kabwe na Omari.
Huyo Sakina Dewji 'Datoo' aliichanganya The Guardian kwa fitna kama kaka yake Kassim Dewji alivyoichanganya Simba SC wakati fulani. Ni watu hatari sana na bila shaka fitna ipo kwenye damu.
Mkuu MzeePunch,are you sure na Joyce Kissaka ameacha kazi IPPMEDIA? please check and confirm.
 
wana JF taarifa nilizopata leo toka ofisi ya MSHANA ni kuwa SAKINA DATOO jana jioni amekabidhi barua ya kuacha kazi Rasmi toka IPP ninafanya jitihada kupata kivuli cha barua hiyo ili niiweke hapa,kwani naambiwa ni barua ya page tatu inayoeleza matukio mengi yaliyopelekea yeye kufanya uamuzi huo.

naomba kuwasilisha
 
wana JF taarifa nilizopata leo toka ofisi ya MSHANA ni kuwa SAKINA DATOO jana jioni amekabidhi barua ya kuacha kazi Rasmi toka IPP ninafanya jitihada kupata kivuli cha barua hiyo ili niiweke hapa,kwani naambiwa ni barua ya page tatu inayoeleza matukio mengi yaliyopelekea yeye kufanya uamuzi huo.

naomba kuwasilisha

Like any other employee, she has just exercised her right (if this is true); moreover, Sakina being such a professional and holging such senior and sensitive posts at IPP Media, it is a good decision ---rather than wait for a sack or another transfer to lesser depts

Only concern hapa ni kama atabaki professionalist au ndio atahama kambi kama wanasiasa.... Naomba mungu asiwe journalist mandazi kama baadhi yao. Atakuwa amejiaibisha, kaaibisha familia yake especially na watanzania kwa ujumla

THERE IS NOTHING BETTER THAN EXERCISING YOUR CAREER AND PROFESSIONAL RIGHTS...
 
wana JF taarifa nilizopata leo toka ofisi ya MSHANA ni kuwa SAKINA DATOO jana jioni amekabidhi barua ya kuacha kazi Rasmi toka IPP ninafanya jitihada kupata kivuli cha barua hiyo ili niiweke hapa,kwani naambiwa ni barua ya page tatu inayoeleza matukio mengi yaliyopelekea yeye kufanya uamuzi huo.

naomba kuwasilisha
samp1.jpg



This is old news nashangaa imechelewa kufika hapa pa sikuzote

Kikosi cha CSI cha JF mmekuwa slow sana kupata data
 
Lakini kuna siku kuna jamaa alikuja na mada hii mlimponda sana leo hii imekuwa breaking news.
 
Wakuu mbona mnafikiri kila mtu anamjua mnayemzungumzia..!!

Huyo SAKINA DATOO ni nani na kwa nini iwe Public Interest kwa yeye kuacha kazi kwenye Limited company ????
 
Wakuu mbona mnafikiri kila mtu anamjua mnayemzungumzia..!!

Huyo SAKINA DATOO ni nani na kwa nini iwe Public Interest kwa yeye kuacha kazi kwenye Limited company ????

Of course Sakina is not a commoner like me and you. She a CNN Award winning jounalist and a Chairperson of Tanzania Jounalists Association or something to that effect. She is an accomplished debater. In my view Sakina is one of the few patrioticTanzanians from the Asian Community. IPP has really lost an asset in Sakina.
 
If she can debate so what? This forum should be for serious issues of national interest. Please send her resignation letter to other blogs, not here --the home of Great THINKERS!
 
acha aende tena asirud kabisa maana pale kuna upuuzi mwingi sana,
majungu meng na fitna.

nasubiri hiyo barua nione kaandika nini humo ndani.
 
we mapao na wewe umetoka ule mtandao uliofungwa nini?
leo ndo umejoin humu ndani, karibu sana.
leta mada yako basi tujadili hapa
 
Suala la Datoo kutoka kwenye ipp media halina shida. Wala kimsingi kuhama tu peke yake hakupaswi kuwa mada ya kujadili hapa. Kitu cha kutufanya tujadili ni zile sababu zilizomfanya ahame. Hizo ndizo zenye uzito. Kumbe mleta thread hii utupatie barua yake aliyomwandikia mwajiri wake ya kuondoka ipp. Naamini atakuwa pia ametoa sababu ambazo zitatusaidia kujadili kuhama kwake.
 
Suala la Datoo kutoka kwenye ipp media halina shida. Wala kimsingi kuhama tu peke yake hakupaswi kuwa mada ya kujadili hapa. Kitu cha kutufanya tujadili ni zile sababu zilizomfanya ahame. Hizo ndizo zenye uzito. Kumbe mleta thread hii utupatie barua yake aliyomwandikia mwajiri wake ya kuondoka ipp. Naamini atakuwa pia ametoa sababu ambazo zitatusaidia kujadili kuhama kwake.

Green pasture, awasalimie aendako!
 
Ngoja afukuzwe maana huyu mama kwa wasio mjua vizuri ni mtu mwenye tanbia ya kukomba wafanyakazi kila anapokuwa na madaraka katika media house yoyote mfano

Alipokuwa Mhariri wa the express aliondoka na wafanyakazi kibao kwenda katika ajira yake mpya atika gazeti la The Sunday Citizen na baada ya kutoka hapo kwenda IPP alikomba wafanyakazi zaidi ya 13.

Taarifa nilizonazo ni kuwa alikuwa akilipwa sh milioni 11 kwa mwezi lakini baada ya ugomvi kati ya bosi wake na mafisadi alionekana kutoegemea upande wa bosi wake na kuamuliwa asushwe cheo na kuwa mhariri wa gazeti moja la kila wiki la kil jumapili liitwalo THis Day On Sunday.

Namtakia maisha mapa lakini ni mmoja wa watu wenye msimamo mkali.
karibu kijiweni SAKINA.
chao
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom