Je, kukosekana kwa baadhi ya wabunge makini, machachari bungeni, kumepunguza ari na msisimko wa vikao vya bunge?.

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,498
113,596
Wanabodi,

Hii ni thread ya swali, Jee Kuna Uwezekano Kukosekana Kwa Baadhi ya Wabunge Makini, Machachari Bungeni, Kumepunguza Ari na Msisimko wa Vikao vya Bunge?.

Bunge ni moja ya mihimili mitatu ya dola, mihimili mingine ni Serikali na Mahakama. Bunge la Tanzania linafuata mtindo wa uendeshaji wa Bunge la Uingereza, Westminster, ambapo msingi wa msisimko wa uendeshaji wa vikao vya Bunge, ni mtindo unaitwa "debate Style", ambapo wabunge wa chama tawala hukaa upande mmoja, na vyama vya upinzani hukaa upande mwingine kwa kutizamana na kubishana kwa hoja,kazi ya upinzani ni kupinga hoja za serikali kwa hoja.

Kila wiki, kuna siku moja lazima Waziri Mkuu aje kujibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa wabunge. Hii ndio the most important and the most interesting session, ambapo kwenye bunge la wenzetu, hii session ni ya lazima, na itakosekana pale tuu, waziri mkuu ana dharura ya dharura kweli. Sisi pia tumeiga mfumo huu wa maswali ya papo kwa papo, wenzetu siku ya maswali ya papo kwa papo, kambi ya upinzani huwa inapanga waulizaji mahiri kama wapiga penalti kwenye mechi za mpira. The icing sugar ya session hii ya maswali ya papo kwa papo ni the grilling ya PM. Session yetu ya maswali ya papo kwenye bunge letu, it is as if hufanya at the plesure of the speaker, tena nahisi PM huwa anaulizwa vipi leo, iwepo?, PM akijisikia ana mood ya kujibu, ndipo session hiyo huwepo!, mara kibao tumeshuhudia PM yuko Dodoma, na session hiyo haipo, as if that session is just option or favour at the pleasure of the speaker na PM.

Mfano kesho, hiyo session ikiwepo, na kukosekana kwa wabunge makini na machachari bungeni wa kuuliza maswali magumu, nani watamuuliza challenging questions PM?, will the session be interesting?.

Nakiri kupanmdisha bandiko hili kutokana na bandiko la mwana jf huyu

Nadhani wale wabunge makini wanaojua kazi yao wameona haina haja ya kuwa sehemu ya bunge lililokosa muelekeo na kisilojua wajibu wake

Wabunge hao makini wameacha kuhudhuria vikao vya bunge hilo,hivyo kuliacha likionekana halina maana mbele ya macho ya watanzania

Wabunge wengi makini wa upinzani kama john mnyika,zitto kabwe,said kubenea,halima mdee, easter bulaya,sugu,na wengine wengi wamekuwa mwiba kwa serikali kwa muda sasa na kila mbinu imetumika kuwazuia wasitoe maoni yao kwa uhuru
Mkuu Papaa Musofe, kwanza naunga mkono hoja, pili mimi binafsi, ni miongoni mwa wafuatiliaji makini wa Bunge, lakini tangu kusitishwa kwa Bunge Live, nimejikuta interest ya kuangalia zile censored programs imepungua sana, lakini kitendo cha kukosekana baadhi ya wabunge machachari bungeni, kumenipelekea nisiangalie kabisa kipindi cha bunge, its as if bunge sasa halina chochote cha interest kufanya watu watazame kipindi cha bunge!.

Pale juzi kati, niliuliza hivi
Wabunge Wetu wa Ajabu!, Wanaachaje Bunge Lijipendekeze Kwa ...

Jee inawezekana watu wanaliona bunge kama halina maana tena?.

Namalizia kwa lile swali za msingi, Jee Kuna Uwezekano Kukosekana Kwa Baadhi ya Wabunge Makini, Machachari Bungeni, Kumepunguza Ari na Msisimko wa Vikao vya Bunge?.

Paskali

Rejea kuhusu Bunge
Baadhi ya Wabunge ni Stupid!, Tanzania haina Demokrasia!, Bunge ni ...
Wito: Wabunge Badilini Kanuni Kuondoa Udikteta wa Spika/N.Spika ...
Vurugu za Jana Bungeni: Chanzo ni Mhe. Job Ndugai!- Ni Dikteta ...
Vurugu za Bungeni: Mhe.Tundu Lissu, Anastahili Adhabu Kali?!. Ni ...

Sakata la TBC Kusitisha Matangazo ya Live za Bunge, Zitto Zuberi ...
Watanzania ni lazima tukubali matokeo: Tutake tusitake, utawala wa ...
Waziri Mkuu anapotoa majibu mapesi kwa maswali mazito!: Ni uwezo ...
Kupungua Mizigo Bandarini: Je, Kuna Uwezekano Waziri Mkuu ...
Bunge la 11: A Wrong 1st Step!, A Wrong 1st Start! | Page 2 ...
Maswali ya Papo Kwa Papo Kwa Waziri Mkuu Bungeni Leo: Mbowe ...
Sheria ipi, kifungu gani cha Katiba kinazuia kujadili Bajeti nje ...
'Bunge si patakatifu, ni pango la wanyang'anyi' -Wananchi ...
Naibu Spika ni Dikteta! | Page 2 | JamiiForums | The ...
Mhe. Tundu Lissu, Please Acha Kumsulubu Spika Wetu!, Unammaliza ...
Spika Press Conference Live!. | Page 2 | JamiiForums | The ...
Naibu Spika Tulia Ackson Mwansasu anapwaya, hafai | Page 2 ...
Kuwa Kichaa Sio Mpaka Kuokota Makopo!. Jee Tanzania Tuna Vichaa ...


 
Wanabodi,

Hii ni thread ya swali, Jee Kuna Uwezekano Kukosekana Kwa Baadhi ya Wabunge Makini, Machachari Bungeni, Kumepunguza Ari na Msisimko wa Vikao vya Bunge?.

Bunge ni moja ya mihimili mitatu ya dola, mihimili mingine ni Serikali na Mahakama. Bunge la Tanzania linafuata mtindo wa uendeshaji wa Bunge la Uingereza, Westminster, ambapo msingi wa msisimko wa uendeshaji wa vikao vya Bunge, ni mtindo unaitwa "debate Style", ambapo wabunge wa chama tawala hukaa upande mmoja, na vyama vya upinzani hukaa upande mwingine kwa kutizamana na kubishana kwa hoja,kazi ya upinzani ni kupinga hoja za serikali kwa hoja.

Kila wiki, kuna siku moja lazima Waziri Mkuu aje kujibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa wabunge. Hii ndio the most important and the most interesting session, ambapo kwenye bunge la wenzetu, hii session ni ya lazima, na itakosekana pale tuu, waziri mkuu ana dharura ya dharura kweli. Sisi pia tumeiga mfumo huu wa maswali ya papo kwa papo, wenzetu siku ya maswali ya papo kwa papo, kambi ya upinzani huwa inapanga waulizaji mahiri kama wapiga penalti kwenye mechi za mpira. The icing sugar ya session hii ya maswali ya papo kwa papo ni the grilling ya PM. Session yetu ya maswali ya papo kwenye bunge letu, it is as if hufanya at the plesure of the speaker, tena nahisi PM huwa anaulizwa vipi leo, iwepo?, PM akijisikia ana mood ya kujibu, ndipo session hiyo huwepo!, mara kibao tumeshuhudia PM yuko Dodoma, na session hiyo haipo, as if that session is just option or favour at the pleasure of the speaker na PM.

Mfano leo hiyo session ikiwepo, na kukosekana kwa wabunge makini na machachari bungeni, nani watamuuliza challenging questions PM?, will the session be interesting?.

Nakiri kupanmdisha bandiko hili kutokana na bandiko la mwana jf huyu

Mkuu Papaa Musofe, kwanza naunga mkono hoja, pili mimi binafsi, ni miongoni mwa wafuatiliaji makini wa Bunge, lakini tangu kusitishwa kwa Bunge Live, nimejikuta interest ya kuangalia zile censored programs imepungua sana, lakini kitendo cha kukosekana baadhi ya wabunge machachari bungeni, kumenipelekea nisiangalie kabisa kipindi cha bunge, its as if bunge sasa halina chochote cha interest kufanya watu watazame kipindi cha bunge!.

Pale juzi kati, niliuliza hivi
Wabunge Wetu wa Ajabu!, Wanaachaje Bunge Lijipendekeze Kwa ...

Jee inawezekana watu wanaliona bunge kama halina maana tena?.

Namalizia kwa lile swali za msingi, Jee Kuna Uwezekano Kukosekana Kwa Baadhi ya Wabunge Makini, Machachari Bungeni, Kumepunguza Ari na Msisimko wa Vikao vya Bunge?.

Paskali

Rejea kuhusu Bunge
Baadhi ya Wabunge ni Stupid!, Tanzania haina Demokrasia!, Bunge ni ...
Wito: Wabunge Badilini Kanuni Kuondoa Udikteta wa Spika/N.Spika ...
Vurugu za Jana Bungeni: Chanzo ni Mhe. Job Ndugai!- Ni Dikteta ...
Vurugu za Bungeni: Mhe.Tundu Lissu, Anastahili Adhabu Kali?!. Ni ...

Sakata la TBC Kusitisha Matangazo ya Live za Bunge, Zitto Zuberi ...
Watanzania ni lazima tukubali matokeo: Tutake tusitake, utawala wa ...
Waziri Mkuu anapotoa majibu mapesi kwa maswali mazito!: Ni uwezo ...
Kupungua Mizigo Bandarini: Je, Kuna Uwezekano Waziri Mkuu ...
Bunge la 11: A Wrong 1st Step!, A Wrong 1st Start! | Page 2 ...
Maswali ya Papo Kwa Papo Kwa Waziri Mkuu Bungeni Leo: Mbowe ...
Sheria ipi, kifungu gani cha Katiba kinazuia kujadili Bajeti nje ...
'Bunge si patakatifu, ni pango la wanyang'anyi' -Wananchi ...
Naibu Spika ni Dikteta! | Page 2 | JamiiForums | The ...
Mhe. Tundu Lissu, Please Acha Kumsulubu Spika Wetu!, Unammaliza ...
Spika Press Conference Live!. | Page 2 | JamiiForums | The ...
Naibu Spika Tulia Ackson Mwansasu anapwaya, hafai | Page 2 ...
Kuwa Kichaa Sio Mpaka Kuokota Makopo!. Jee Tanzania Tuna Vichaa ...

PASKALI HESHIMA KUU,
Mimi ni msomaji wa post zako lakini karibuni namna unavyoandika inakera!!!Andika kwa ufupi nasi tuchangie lakini kupandisha nyuzi,kuweka post zingine kati ya post sijui unataka ku justify nini?Samahani lakini.
 
Bunge la awamu hii limejaza wajinga wengi wenye kadi za kijani wamejawa woga hawako tayari kuongea lolote zaidi ya kusema ndiwooo.
Lusinde na msukumu ndio tegemeo lao kujenga hoja kwenye jambo lolote linalomuhusu mwenyekiti wao...tumeona mpka wanatishwa na bashite na kumuita bunge kisha kunywa nae chai na kurudi dar akiwa mbabe wao.
Tegemea maajabu zaidi mpka tufika 2020 utaona lusinde kachaguliwa kua mwenyekiti wao bungeni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama watu wanazungumzia kutongoza Na govi utapata wapi mzuka wa kuangalia?
Mwingine alisema headphone zizuiwe zinasababisha ukiziwi .....
.Ilibidi nicheke tu
 
Ni aheri ukakaa na jirani yako mkabadilishana mawazo, utapata la maana kuliko kufuatilia haya maigizo yanayoitwa Bunge la Tanzania. Bunge ambalo halina uwezo wa kupanga bajeti wala kuihoji serikali, nalo ni Bunge? Taasisi yoyote ambayo haina kiongozi, haiwezi kulisaidia Taifa.

Tuna Bunge lisilokuwa na uongozi bali lina watawala. Watu wanaoamini katika nguvu kuliko weledi na akili.
 
Wanabodi,

Hii ni thread ya swali, Jee Kuna Uwezekano Kukosekana Kwa Baadhi ya Wabunge Makini, Machachari Bungeni, Kumepunguza Ari na Msisimko wa Vikao vya Bunge?.

Bunge ni moja ya mihimili mitatu ya dola, mihimili mingine ni Serikali na Mahakama. Bunge la Tanzania linafuata mtindo wa uendeshaji wa Bunge la Uingereza, Westminster, ambapo msingi wa msisimko wa uendeshaji wa vikao vya Bunge, ni mtindo unaitwa "debate Style", ambapo wabunge wa chama tawala hukaa upande mmoja, na vyama vya upinzani hukaa upande mwingine kwa kutizamana na kubishana kwa hoja,kazi ya upinzani ni kupinga hoja za serikali kwa hoja.

Kila wiki, kuna siku moja lazima Waziri Mkuu aje kujibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa wabunge. Hii ndio the most important and the most interesting session, ambapo kwenye bunge la wenzetu, hii session ni ya lazima, na itakosekana pale tuu, waziri mkuu ana dharura ya dharura kweli. Sisi pia tumeiga mfumo huu wa maswali ya papo kwa papo, wenzetu siku ya maswali ya papo kwa papo, kambi ya upinzani huwa inapanga waulizaji mahiri kama wapiga penalti kwenye mechi za mpira. The icing sugar ya session hii ya maswali ya papo kwa papo ni the grilling ya PM. Session yetu ya maswali ya papo kwenye bunge letu, it is as if hufanya at the plesure of the speaker, tena nahisi PM huwa anaulizwa vipi leo, iwepo?, PM akijisikia ana mood ya kujibu, ndipo session hiyo huwepo!, mara kibao tumeshuhudia PM yuko Dodoma, na session hiyo haipo, as if that session is just option or favour at the pleasure of the speaker na PM.

Mfano kesho, hiyo session ikiwepo, na kukosekana kwa wabunge makini na machachari bungeni wa kuuliza maswali magumu, nani watamuuliza challenging questions PM?, will the session be interesting?.

Nakiri kupanmdisha bandiko hili kutokana na bandiko la mwana jf huyu

Mkuu Papaa Musofe, kwanza naunga mkono hoja, pili mimi binafsi, ni miongoni mwa wafuatiliaji makini wa Bunge, lakini tangu kusitishwa kwa Bunge Live, nimejikuta interest ya kuangalia zile censored programs imepungua sana, lakini kitendo cha kukosekana baadhi ya wabunge machachari bungeni, kumenipelekea nisiangalie kabisa kipindi cha bunge, its as if bunge sasa halina chochote cha interest kufanya watu watazame kipindi cha bunge!.

Pale juzi kati, niliuliza hivi
Wabunge Wetu wa Ajabu!, Wanaachaje Bunge Lijipendekeze Kwa ...

Jee inawezekana watu wanaliona bunge kama halina maana tena?.

Namalizia kwa lile swali za msingi, Jee Kuna Uwezekano Kukosekana Kwa Baadhi ya Wabunge Makini, Machachari Bungeni, Kumepunguza Ari na Msisimko wa Vikao vya Bunge?.

Paskali

Rejea kuhusu Bunge
Baadhi ya Wabunge ni Stupid!, Tanzania haina Demokrasia!, Bunge ni ...
Wito: Wabunge Badilini Kanuni Kuondoa Udikteta wa Spika/N.Spika ...
Vurugu za Jana Bungeni: Chanzo ni Mhe. Job Ndugai!- Ni Dikteta ...
Vurugu za Bungeni: Mhe.Tundu Lissu, Anastahili Adhabu Kali?!. Ni ...

Sakata la TBC Kusitisha Matangazo ya Live za Bunge, Zitto Zuberi ...
Watanzania ni lazima tukubali matokeo: Tutake tusitake, utawala wa ...
Waziri Mkuu anapotoa majibu mapesi kwa maswali mazito!: Ni uwezo ...
Kupungua Mizigo Bandarini: Je, Kuna Uwezekano Waziri Mkuu ...
Bunge la 11: A Wrong 1st Step!, A Wrong 1st Start! | Page 2 ...
Maswali ya Papo Kwa Papo Kwa Waziri Mkuu Bungeni Leo: Mbowe ...
Sheria ipi, kifungu gani cha Katiba kinazuia kujadili Bajeti nje ...
'Bunge si patakatifu, ni pango la wanyang'anyi' -Wananchi ...
Naibu Spika ni Dikteta! | Page 2 | JamiiForums | The ...
Mhe. Tundu Lissu, Please Acha Kumsulubu Spika Wetu!, Unammaliza ...
Spika Press Conference Live!. | Page 2 | JamiiForums | The ...
Naibu Spika Tulia Ackson Mwansasu anapwaya, hafai | Page 2 ...
Kuwa Kichaa Sio Mpaka Kuokota Makopo!. Jee Tanzania Tuna Vichaa ...


Kwanza Bunge makini ni lile tu linalopokea Hoja mbadala kwa Positive thoughts,siyo hoja kinzani inajibiwa kwa MATUSI na KEJELI

Bunge lilishajifia siku nyingi sana,yaani hilo ni jengo tu,uliona wapi Bungeni wanaongelea issues za ngono na tohara,hivi kumekosekana cha kujadili??

Bunge lingekuwa huru WABUNGE wangeacha kwenda bungeni na kuandamana kupinga mwenzao kudunguliwa kwa kumiminiwa risasi kama JAMBAZI sugu,hata waliomuua Imran Kombe hawakumminia RISASI kama Jangili.Leo hata Tembo anauawa kwa RISASI moja.

Shemeji yangu mpendwa pole hakuna Bunge ni bora hao akina Mdee na Bulaya waendelee kufanya kazi na wapiga kura wao,huko mjengoni ni mkutano wa NEC ya CCM
 
Kwa kweli niseme Ukweli tangu waache kutuonyesha Bunge Live sijawahi kuwa na Interest tena ya kuliangalia.
Kitu kingine jinsi wabunge wa upinzani wanavyokuwa treated, naona kama nguvu nyingi sana inatumika dhidi yao.
Pia hii ya kuonekana kama Bunge limeelemewa na mhimili wa serikali badala ya Kuiwajibisha serikali nalo hili nahisi linachangia bunge likose msisimko!

Nakumbuka Kipindi cha Sitta na Kiasi fulani mama Makinda Bunge lilikuwa moto wa kuotea mbali.
Sasa leo hii bunge linaunda kamati ya kuchunguza, badala ya ripoti ipelekwe bungeni wabunge waje na maazimio badala yake ripoti inapelekwa serikalini. Mimi sijawahi kuona hii.
Kwa hali hii lazima bunge likose msisimko!!
 
Ndoa kati ya mihimili ya serikali. Yaani dola na bunge ni ya mfumo dume!! Watoto wenye akili inabidi watoke wasione jinsi baba anavyomwaibisha mama japo eti naye yupo safi upstairs!!
 
Wanabodi,

Hii ni thread ya swali, Jee Kuna Uwezekano Kukosekana Kwa Baadhi ya Wabunge Makini, Machachari Bungeni, Kumepunguza Ari na Msisimko wa Vikao vya Bunge?.

Bunge ni moja ya mihimili mitatu ya dola, mihimili mingine ni Serikali na Mahakama. Bunge la Tanzania linafuata mtindo wa uendeshaji wa Bunge la Uingereza, Westminster, ambapo msingi wa msisimko wa uendeshaji wa vikao vya Bunge, ni mtindo unaitwa "debate Style", ambapo wabunge wa chama tawala hukaa upande mmoja, na vyama vya upinzani hukaa upande mwingine kwa kutizamana na kubishana kwa hoja,kazi ya upinzani ni kupinga hoja za serikali kwa hoja.

Kila wiki, kuna siku moja lazima Waziri Mkuu aje kujibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa wabunge. Hii ndio the most important and the most interesting session, ambapo kwenye bunge la wenzetu, hii session ni ya lazima, na itakosekana pale tuu, waziri mkuu ana dharura ya dharura kweli. Sisi pia tumeiga mfumo huu wa maswali ya papo kwa papo, wenzetu siku ya maswali ya papo kwa papo, kambi ya upinzani huwa inapanga waulizaji mahiri kama wapiga penalti kwenye mechi za mpira. The icing sugar ya session hii ya maswali ya papo kwa papo ni the grilling ya PM. Session yetu ya maswali ya papo kwenye bunge letu, it is as if hufanya at the plesure of the speaker, tena nahisi PM huwa anaulizwa vipi leo, iwepo?, PM akijisikia ana mood ya kujibu, ndipo session hiyo huwepo!, mara kibao tumeshuhudia PM yuko Dodoma, na session hiyo haipo, as if that session is just option or favour at the pleasure of the speaker na PM.

Mfano kesho, hiyo session ikiwepo, na kukosekana kwa wabunge makini na machachari bungeni wa kuuliza maswali magumu, nani watamuuliza challenging questions PM?, will the session be interesting?.

Nakiri kupanmdisha bandiko hili kutokana na bandiko la mwana jf huyu

Mkuu Papaa Musofe, kwanza naunga mkono hoja, pili mimi binafsi, ni miongoni mwa wafuatiliaji makini wa Bunge, lakini tangu kusitishwa kwa Bunge Live, nimejikuta interest ya kuangalia zile censored programs imepungua sana, lakini kitendo cha kukosekana baadhi ya wabunge machachari bungeni, kumenipelekea nisiangalie kabisa kipindi cha bunge, its as if bunge sasa halina chochote cha interest kufanya watu watazame kipindi cha bunge!.

Pale juzi kati, niliuliza hivi
Wabunge Wetu wa Ajabu!, Wanaachaje Bunge Lijipendekeze Kwa ...

Jee inawezekana watu wanaliona bunge kama halina maana tena?.

Namalizia kwa lile swali za msingi, Jee Kuna Uwezekano Kukosekana Kwa Baadhi ya Wabunge Makini, Machachari Bungeni, Kumepunguza Ari na Msisimko wa Vikao vya Bunge?.

Paskali

Rejea kuhusu Bunge
Baadhi ya Wabunge ni Stupid!, Tanzania haina Demokrasia!, Bunge ni ...
Wito: Wabunge Badilini Kanuni Kuondoa Udikteta wa Spika/N.Spika ...
Vurugu za Jana Bungeni: Chanzo ni Mhe. Job Ndugai!- Ni Dikteta ...
Vurugu za Bungeni: Mhe.Tundu Lissu, Anastahili Adhabu Kali?!. Ni ...

Sakata la TBC Kusitisha Matangazo ya Live za Bunge, Zitto Zuberi ...
Watanzania ni lazima tukubali matokeo: Tutake tusitake, utawala wa ...
Waziri Mkuu anapotoa majibu mapesi kwa maswali mazito!: Ni uwezo ...
Kupungua Mizigo Bandarini: Je, Kuna Uwezekano Waziri Mkuu ...
Bunge la 11: A Wrong 1st Step!, A Wrong 1st Start! | Page 2 ...
Maswali ya Papo Kwa Papo Kwa Waziri Mkuu Bungeni Leo: Mbowe ...
Sheria ipi, kifungu gani cha Katiba kinazuia kujadili Bajeti nje ...
'Bunge si patakatifu, ni pango la wanyang'anyi' -Wananchi ...
Naibu Spika ni Dikteta! | Page 2 | JamiiForums | The ...
Mhe. Tundu Lissu, Please Acha Kumsulubu Spika Wetu!, Unammaliza ...
Spika Press Conference Live!. | Page 2 | JamiiForums | The ...
Naibu Spika Tulia Ackson Mwansasu anapwaya, hafai | Page 2 ...
Kuwa Kichaa Sio Mpaka Kuokota Makopo!. Jee Tanzania Tuna Vichaa ...

Pascal katika historia ya bunge la Tanzania, pamewahi kutokea wabunge ' machachari' wawili tu yule Masoud wa Temeke aliyeibua ufisadi wa kivuko cha kigamboni kwenye bunge la chama kimoja NA Zitto Kabwe ' yule' aliyeibua ufisadi wa buzwagi fullstop!
 
Back
Top Bottom