Ufafanuzi: Halima Mdee na wenzake waliingizwa Bungeni na Serikali ya CCM, hawakuingizwa na Ndugai. Hawatafukuzwa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,703
218,232
Halima Mdee na Wasaliti wenzake 18 , akiwemo dada yangu Sophia Mwakagenda , Waliingizwa bungeni kiharamia na serikali ya Tanzania, serikali ya Tanzania na mfumo wake waliamua kufanya hivyo ili KUIDANGANYA JUMUIYA YA MADOLA NA MATAIFA WAFADHILI kwamba uchaguzi wa 2020 ulikuwa shwari na ndio maana bungeni wamo wapinzani, kuna hela nyingi ambazo Jumuiya ya Madola inatoa kwa nchi zenye mabunge ya kidemokrasia, hili ndio lengo la serikali ya Tanzania kumnunua kwa gharama kubwa na ya KUTIA AIBU Halima Mdee na wenzake.

Job Ndugai binafsi hakuwa na uwezo , mzuka wala utashi wa kufanya hivyo, Ndugai siyo aliyemtoa Nusrat Hanje Jela ili akaape , hiyo ni serikali yenyewe na mfumo wake, ndio maana hata baada ya Dr Magufuli kufariki, Yale Makubaliano ya Mfumo na Wasaliti kupewa Ukuu wa Wilaya yamedumishwa (nadhani mnanielewa), tena na Rais mpya kwa sababu serikali ya CCM haiendeshwi na hawa mnawaona wamevaa manguo ya kijani, wapo waendeshaji

Kwahiyo Halima Mdee na wenzake hawataondolewa bungeni kwa vile hawakuingizwa na Ndugai.

Nakaribisha maswali.

IMG_20220202_104958.jpg

 
Nchi yenyewe imejaa mbumbumbu unategemea watafanya Nini ....

Wenye akili na werevu wanakula nchi nyie mtaishia kupiga kelele jf ....
Umesahau kitu , pamoja na kelele zetu tunazopiga hapa JF , kingine tunachofanya ni KUOMBA DUA
 
Halima Mdee na Wasaliti wenzake 18 , akiwemo dada yangu Sophia Mwakagenda , Waliingizwa bungeni kiharamia na serikali ya Tanzania, serikali ya Tanzania na mfumo wake waliamua kufanya hivyo ili KUIDANGANYA JUMUIYA YA MADOLA NA MATAIFA WAFADHILI kwamba uchaguzi wa 2020 ulikuwa
Mumeanza kutapatapàaa, si hapa majuzi kati mliwakebehi eti ndugai baaada ya kuachia ngazi ya u spika hawa wamama hawatakua na lao . sasa mumegeuka eti ni serikali ya ccm?
 
Mumeanza kutapatapàaa, si hapa majuzi kati mliwakebehi eti ndugai baaada ya kuachia ngazi ya u spika hawa wamama hawatakua na lao . sasa mumegeuka eti ni serikali ya ccm?
Weka ushahidi
 
Halima Mdee na Wasaliti wenzake 18 , akiwemo dada yangu Sophia Mwakagenda , Waliingizwa bungeni kiharamia na serikali ya Tanzania, serikali ya Tanzania na mfumo wake waliamua kufanya hivyo ili KUIDANGANYA JUMUIYA YA MADOLA NA MATAIFA WAFADHILI kwamba uchaguzi wa 2020 ulikuwa shwari na ndio maana bungeni wamo wapinzani, kuna hela nyingi ambazo Jumuiya ya Madola inatoa kwa nchi zenye mabunge ya kidemokrasia, hili ndio lengo la serikali ya Tanzania kumnunua kwa gharama kubwa na ya KUTIA AIBU Halima Mdee na wenzake.

Job Ndugai binafsi hakuwa na uwezo , mzuka wala utashi wa kufanya hivyo, Ndugai siyo aliyemtoa Nusrat Hanje Jela ili akaape , hiyo ni serikali yenyewe na mfumo wake, ndio maana hata baada ya Dr Magufuli kufariki, Yale Makubaliano ya Mfumo na Wasaliti kupewa Ukuu wa Wilaya yamedumishwa (nadhani mnanielewa), tena na Rais mpya kwa sababu serikali ya CCM haiendeshwi na hawa mnawaona wamevaa manguo ya kijani, wapo waendeshaji

Kwahiyo Halima Mdee na wenzake hawataondolewa bungeni kwa vile hawakuingizwa na Ndugai.

Nakaribisha maswali.

Swali langu la kwanza
Mchakato wa kuwafukuza kina Mdee ndani ya Chama ulikamilika kwa mujibu wa Katiba ya Chama
Jee Kikao cha kusikiliza Rufaa yao kwa nini hakijakaa mwaka wa pili xx
Jee kwa mujibu wa katiba yenu baraza kuu hukutana mara ngapi kwa mwaka
 
Swali langu la kwanza
Mchakato wa kuwafukuza kina Mdee ndani ya Chama ulikamilika kwa mujibu wa Katiba ya Chama
Jee Kikao cha kusikiliza Rufaa yao kwa nini hakijakaa mwaka wa pili xx
Jee kwa mujibu wa katiba yenu baraza kuu hukutana mara ngapi kwa mwaka
Nitaanza na la mwisho , Kikao cha Baraza Kuu hukaa mara 1 tu kwa mwaka

Kuhusu swali la kwanza , Kamati Kuu ilishawavua uanachama wao na ndio maana walikata rufaa , kwahiyo si wanachama wa Chadema tangu hapo , labda hadi pale rufaa yao itakapowaona hawana hatia (jambo lisilowezekana) .

Hii ni sawa na aliyehukumiwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi kifungo jela halafu atake aachiwe huru eti kwa vile amekata rufaa Mahakama kuu , hilo jambo halipo , akishinda rufaa yake atafutiwa hukumu ya mwanzo na kuachiwa huru .

Bila shaka nimejibu maswali yako
 
Kwa hiyo mim
Nitaanza na la mwisho , Kikao cha Baraza Kuu hukaa mara 1 tu kwa mwaka

Kuhusu swali la kwanza , Kamati Kuu ilishawavua uanachama wao na ndio maana walikata rufaa , kwahiyo si wanachama wa Chadema tangu hapo , labda hadi pale rufaa yao itakapowaona hawana hatia (jambo lisilowezekana) .

Hii ni sawa na aliyehukumiwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi kifungo jela halafu atake aachiwe huru eti kwa vile amekata rufaa Mahakama kuu , hilo jambo halipo , akishinda rufaa yake atafutiwa hukumu ya mwanzo na kuachiwa huru .

Bila shaka nimejibu maswali yako
Sasa ni mwaka wa 2 hamjafanya kikao yaani kipindi hiki cha corona mmeshindwa hata kufanya kwa njia ya mtandao iwe kisingizio kama hamna pesa ?
Pili tafsiri ya utekelezwaji wa hukumu sio relevant kwa case zote
Chukulia mimi na wewe ni ndugu tinagombea mirathi ya nyumba.. . nashinda halafu wewe unakata rufaa. Je nitaruhusiwa kuuza ile nyumba wakati rufaa iko mahakamani
Nina mfano wa ndgu yangu aliyefukuzwa kazi na kikao cha nidhamu lakini alipokata Rufaa hakutolewa kazini kusubiri maamuzi ya Rufaa
Twende mbali zaidi kama ulikuwa na ufahamu kulikuwa na kesi ya kina Mbaruku Msabaha na mwenzie Naila Jidawa wa CUF kule visiwani.. Aidha kulikuwa na Hamad Rashid Muhammed aliyeitwa mbunge wa Mahakam bila kumsahau Zitto Kabwe... Japo scenerio zinapishana lakinizinashabihiana.

Kuna haja ya kuacha kucheza na ufahamu wa watu na badala yake tuwe factual tukitaka tueleweke mbele ya wanachama na jamii
 
Kwa hiyo mim

Sasa ni mwaka wa 2 hamjafanya kikao yaani kipindi hiki cha corona mmeshindwa hata kufanya kwa njia ya mtandao iwe kisingizio kama hamna pesa ?
Pili tafsiri ya utekelezwaji wa hukumu sio relevant kwa case zote
Chukulia mimi na wewe ni ndugu tinagombea mirathi ya nyumba.. . nashinda halafu wewe unakata rufaa. Je nitaruhusiwa kuuza ile nyumba wakati rufaa iko mahakamani
Nina mfano wa ndgu yangu aliyefukuzwa kazi na kikao cha nidhamu lakini alipokata Rufaa hakutolewa kazini kusubiri maamuzi ya Rufaa
Twende mbali zaidi kama ulikuwa na ufahamu kulikuwa na kesi ya kina Mbaruku Msabaha na mwenzie Naila Jidawa wa CUF kule visiwani.. Aidha kulikuwa na Hamad Rashid Muhammed aliyeitwa mbunge wa Mahakam bila kumsahau Zitto Kabwe... Japo scenerio zinapishana lakinizinashabihiana.

Kuna haja ya kuacha kucheza na ufahamu wa watu na badala yake tuwe factual tukitaka tueleweke mbele ya wanachama na jamii
Jidawi mwisho wake ukawaje , ukitumika hata mazingira yanakuzomea , kingine ni hiki , jaribu kupitia Katiba ya Chadema , hizi Katiba za vyama zimesajiliwa kihalali na zinatambulika .
 
Halima Mdee na Wasaliti wenzake 18 , akiwemo dada yangu Sophia Mwakagenda , Waliingizwa bungeni kiharamia na serikali ya Tanzania, serikali ya Tanzania na mfumo wake waliamua kufanya hivyo ili KUIDANGANYA JUMUIYA YA MADOLA NA MATAIFA WAFADHILI kwamba uchaguzi wa 2020 ulikuwa shwari na ndio maana bungeni wamo wapinzani, kuna hela nyingi ambazo Jumuiya ya Madola inatoa kwa nchi zenye mabunge ya kidemokrasia, hili ndio lengo la serikali ya Tanzania kumnunua kwa gharama kubwa na ya KUTIA AIBU Halima Mdee na wenzake.

Job Ndugai binafsi hakuwa na uwezo , mzuka wala utashi wa kufanya hivyo, Ndugai siyo aliyemtoa Nusrat Hanje Jela ili akaape , hiyo ni serikali yenyewe na mfumo wake, ndio maana hata baada ya Dr Magufuli kufariki, Yale Makubaliano ya Mfumo na Wasaliti kupewa Ukuu wa Wilaya yamedumishwa (nadhani mnanielewa), tena na Rais mpya kwa sababu serikali ya CCM haiendeshwi na hawa mnawaona wamevaa manguo ya kijani, wapo waendeshaji

Kwahiyo Halima Mdee na wenzake hawataondolewa bungeni kwa vile hawakuingizwa na Ndugai.

Nakaribisha maswali.

Tutawandikia BARUA Jumuia ya MADOLA kuwaeleza UKWELI na Viambatanusho

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Halima Mdee na Wasaliti wenzake 18 , akiwemo dada yangu Sophia Mwakagenda , Waliingizwa bungeni kiharamia na serikali ya Tanzania, serikali ya Tanzania na mfumo wake waliamua kufanya hivyo ili KUIDANGANYA JUMUIYA YA MADOLA NA MATAIFA WAFADHILI kwamba uchaguzi wa 2020 ulikuwa shwari na ndio maana bungeni wamo wapinzani, kuna hela nyingi ambazo Jumuiya ya Madola inatoa kwa nchi zenye mabunge ya kidemokrasia, hili ndio lengo la serikali ya Tanzania kumnunua kwa gharama kubwa na ya KUTIA AIBU Halima Mdee na wenzake.

Job Ndugai binafsi hakuwa na uwezo , mzuka wala utashi wa kufanya hivyo, Ndugai siyo aliyemtoa Nusrat Hanje Jela ili akaape , hiyo ni serikali yenyewe na mfumo wake, ndio maana hata baada ya Dr Magufuli kufariki, Yale Makubaliano ya Mfumo na Wasaliti kupewa Ukuu wa Wilaya yamedumishwa (nadhani mnanielewa), tena na Rais mpya kwa sababu serikali ya CCM haiendeshwi na hawa mnawaona wamevaa manguo ya kijani, wapo waendeshaji

Kwahiyo Halima Mdee na wenzake hawataondolewa bungeni kwa vile hawakuingizwa na Ndugai.

Nakaribisha maswali.

Wawakilishi wa viti maalumu kupitia Chadema!
 
Swali langu la kwanza
Mchakato wa kuwafukuza kina Mdee ndani ya Chama ulikamilika kwa mujibu wa Katiba ya Chama
Jee Kikao cha kusikiliza Rufaa yao kwa nini hakijakaa mwaka wa pili xx
Jee kwa mujibu wa katiba yenu baraza kuu hukutana mara ngapi kwa mwaka
Mwenyekiti na Makamu wake hawapo.Nadhani hiyo ndio inafanya kuitisha huo mkutano wa baraza kuu kuwa mgumu.
 
Back
Top Bottom