Je Kati ya Computer na Binadamu nani ni smart zaidi?

Sisi ni smart sana na kila sekunde ubongo unafanya hesabu ukiwa watembea usigongane na vitu ukate vipi kona vyote kwenye subconscious kiasi kwamba we don't even think or realize.
Binadamu ana input device za kila aina kuanzia macho kama camera, ngozi kama heat detector, na kwa ajili ya kuhisi mazingira, masikio kama sound input sawa na mic, na hisia nyingone ambazo hata hatuzielewi. Mfano kama kuna hatari nywele kusisimka, au kuna jambo baya limetokea unaanza kufeel something is not okay.
Ukija kwenye uhifadhi wa data, we fikiria unakumbukumbuku kiasi gani kwenye kichwa chako tena kwa format za video tupu.
Yani toka unajotambua unaweza kukumbuka tukio kuanzia mwanzo mpaka mwisho kama unatazama video.
Binadamu ni complicated na smart sana. Njoo kwenye mfumo wa uendeshaji mwili, jinsi mwili unavyotengeneza kinga, unavyochukua hatua kukulinda, yani huo usmart wa jali ya juu sana.
Sema tunayachukulia poa kwasababu yanatendeka bila hata kufuatilia.
Tumeumbwa kwa jinsi ya ajabu ya kutisha, hakuna kama uumbaji wa Mungu.
 
Nakubaliana na wewe lakini kuna baadhi ya kazi binadamu anazidiwa,kwa mfano binadamu hana uwezo wa kutunza kumbukumbu la salio la wateja hata wa tawi moja tu la benki lakini computer ina uwezo huo
Ni kwamba inahifadhi na kurecall. Yanj jinsi ilivyotengenezwa ni kuhifadhi hapa halafu ukihitaji inaenda inachukua inakuletea. Sawa na wewe uwe na library ya vitabu, mtu akitaka unaenda kwenye shelf unachukua unamletea na kumfungulia.
Speed ya computer kurecall vitu na kucalculate ni hesabu hizi za kawaida ni mkubwa kuliko binadamu.
Ila na sisi kuna hesabu nyingi tunazifanya kwa kasi bila hata kufikiri hizi hesabu zinazotufanya tutembee tuendeshe vitu ni hesabu zinafanyika in our subconscious.
Unachukua maamuzi ya haraka haraka unavuka barabara yenye magari yako kasi lakini unatazama gari zinakuja pande zote fasta ubongo ushaprocess speed ya magari upana wa barabara, ushatambua uvuke kwa speed kiasi gani.
Unambemba mtoto mdogo, faster ubongo ushang'amua ni soft hivyo umshike vipi.
Unashika kitu delicate fasta ile feel ubongo ushacalculate pressure ya kuapply.
Kila mara ubongo unapga hesabu in everything we do, lakini kwakuwa hatuna habari tunaona sisi kawaida tu.
 
Vipi kwenye uwezo wa kutunza kumbukumbu unaweza kuipiku computer?
Yes, jiulizi kumbukumbu ngapi ziko kichwani mwako tena kwa format za video, hapo ulipo unaweza kumbuka maisha yako ukiwa la saba kuanzia siku unaingia la saba, watu uliokuwa nao matukio ya shuleni na mambo mengi, ukaruka ukaenda kipindi uko chuoz ukaruka ukaenda maisha na demu wako wa kwanza yani full HD format.
Kumbukumbu tulizo nazo kama zikibadilishwa kuwa data sijui zitahifadhiwa wapi.
Na sisi tuko vzuri kwenye kurecall kumbukumbu za kimaisha kuliko kumbikumbu labda za data kama hesabu, sijui log books.
 
Compyuta ni akili ya binadamu sasa sijui unashindanisha vp na binadamu, compyuta bila binadamu hawez fanya chochote kile lakin je binadamu anafanya mangapi? kompyuta ni mashine ya kurahisisha kaz kama mashine zingine haina usmart wowote ule bhana
Ni kweli computer inategemea binadamu kurahishisha kazi na katika urahisishaji kazi wake ndio hapo uwezo wake wa kufanya kazi unakuwa mkubwa kuliko ubongo,tukikupa hesabu ngumu kumi uzifanye kwa dk moja huwezi ila computer inaweza kirahisi sana
 
Yes, jiulizi kumbukumbu ngapi ziko kichwani mwako tena kwa format za video, hapo ulipo unaweza kumbuka maisha yako ukiwa la saba kuanzia siku unaingia la saba, watu uliokuwa nao matukio ya shuleni na mambo mengi, ukaruka ukaenda kipindi uko chuoz ukaruka ukaenda maisha na demu wako wa kwanza yani full HD format.
Kumbukumbu tulizo nazo kama zikibadilishwa kuwa data sijui zitahifadhiwa wapi.
Na sisi tuko vzuri kwenye kurecall kumbukumbu za kimaisha kuliko kumbikumbu labda za data kama hesabu, sijui log books.
Sisi tuna tunatunza kumbukumbu kweli,lakini zipo too general,mfano hizo siku za shuleni huwezi kukumbuka tarehe na saa kamili,na hata majina ya marafiki zako wote au darasa zima huwezi kuwakumbuka wote kwa usahihi lakini computer ina uwezo huo
 
Sisi tuna tunatunza kumbukumbu kweli,lakini zipo too general,mfano hizo siku za shuleni huwezi kukumbuka tarehe na saa kamili,na hata majina ya marafiki zako wote au darasa zima huwezi kuwakumbuka wote kwa usahihi lakini computer ina uwezo huo
Computer ni sawa na shelfu la vitabu, lenye vitabu vilivoandikwa kila unachotaka kuhifadhi, akija mtu anataka kitu unaenda unachukua kitabu husika unafungua unaona kila detail uliyohifadhi.
 
Wakuu,
Matajiri wawili wakubwa duniani waliwahi kutoa maoni yao juu ya uwezo wa computer;

Elon Musk yeye alisema computer ni smart zaidi ya binadamu kwenye maeneo mengi

Jack Ma yeye alisema Computer zina uwezo lakini binadamu ni smart zaidi kwa sababu binadamu ndio aligundua computer lakini hakuna computer imegundua binadamu;

Mimi nadhani wote wako sawa;

Nini maoni yako?

Credits;Quora forumView attachment 2032925View attachment 2032926View attachment 2032927


Nikuulize wewe na ubongo wako ni yupi au kipi ni smart ??!!
 
Binadamu waliotengeneza computer wapo smart zaidi kuliko computer, lakini sio binadamu wote kwa mfano computer inaweza fanya calculation ngumu sana, wakati Kuna binadamu magazijuto tu ni shidaa.
😂😂
 
Sana tu...
Binadamu ana infinity memory storage...

Na uwezo wa kichwa chetu kuhandle tasks unazid kukua kadri tunapokuwa na tasks ngumu... kuna Learning efficiency curve... ambayo computer haina

Yaani ufanisi wa kazi kuongezeka kutokana na mazoea, kazi ambayo binadamu leo kaifanya nusu saa kesho ataifanya dakika 25 na kadri mda unavyoenda na uzoefu unazid.. outputs zinaongezeka unlike computers haziko hivyo
 
Back
Top Bottom