Je Kati ya Computer na Binadamu nani ni smart zaidi?

Computer iko vizuri sababu in memory kali ambayo sio rahisi kufa labda storage device ipate hitilafu!

It remains a computer sababu iko programmed na binadamu ila kimsingi inaweza kufanya mambo mengi sana kwa wakati mmoja tofauti na ubongo wa binadamu! IBM na Bill gates walikuwa magenius kwa kutuletea software na programmable machine!
Ni kweli binadamu anaiwezesha computer ila ikianza kufanya kazi binadamu hawezi kushindana nayo
 
Compyuta ni akili ya binadamu sasa sijui unashindanisha vp na binadamu, compyuta bila binadamu hawez fanya chochote kile lakin je binadamu anafanya mangapi? kompyuta ni mashine ya kurahisisha kaz kama mashine zingine haina usmart wowote ule bhana
 
Computer haina uwezo wa kufikiri. Inafanya kazi according to instructions given patched abilities per intended use in little or no margine of error. Human being or beings of adam there are minds are know everything(all knowing minds)
 
Computer sio kitu cha kijinga
Ungekua mwanasayans kidogo tu ungetambua kua mwil wa mwanadam ni limachine complex kuliko machine yoyote ulimwengun hapa..sema sabab huelew of which si kosa lako so nakuonea hurima tu

Perhaps think of this...mifumo ambayo ipo kwenye mwil wa binadamu inayoendesha mwil wa binama..umeme uliomo ndan ya mwil wa mwanadam jins unavyosafiri na kupelekea taarifa thru neurons..taarifa za matendo ya cells.tissue etc znavyochakatwa na kutafsiriwa withn fraction of a second..balance ya mwil wa mwanadam..huanguki kwasabab..memery..hiv unajua jicho la mwanadam linachambua mega pixel ngap?..hiv unajua for a fraction of a second ubongo wa binadam una hifadh na ku delete data kwa kias gan?...una jikata leo na wembe unakaa siki tatu ngozi inajiunga tena..hiv ushawai waza haya wew kiazi?
 
Binadamu tunasema anauwezo zaidi ya Computer kwasababu ya kitu tunaita "Intelligence" hiki kitu computer hazina kabisa, computer haiwezi kufikiri jambo na kulifanya yenyew kama yenyewe. Lazima iwe instructed kufanya jambo fulani

naona kwa sasa mambo ya Artificial Intelligence yanakua kwa kasi sana, wakifanikiwa kwenye hili 100% au hata 95% tu.. basi computer zitaku a na uwezo mkubwa kuliko binadamu.
 
Computer haina uwezo wa kufikiri. Inafanya kazi according to instructions given patched abilities per intended use in little or no margine of error. Human being or beings of adam there are minds are know everything(all knowing minds)
Ina uwezo wa kufikiri kama ikiwa trained, unaipa a lot of data ina digest ina device new skills mfano mwaka 2016 google walifanya majaribio kwa kutumia board game.
 
Kudigest data sio uwezo wa kufikiri
Baada ya kudigest ina device new methods ya kutatua tatizo

Mfano, mwaka 2013 wataalam waliprogram atari video gem na kuipa kompyuta maelekezo kwamba ishinde, baada ya michezo 300 ikatengeneza njia yake peke yake ya kushinda.
 
Back
Top Bottom