Je Kati ya Computer na Binadamu nani ni smart zaidi?

Farolito

JF-Expert Member
Sep 10, 2018
11,634
26,373
Wakuu,
Matajiri wawili wakubwa duniani waliwahi kutoa maoni yao juu ya uwezo wa computer;

Elon Musk yeye alisema computer ni smart zaidi ya binadamu kwenye maeneo mengi

Jack Ma yeye alisema Computer zina uwezo lakini binadamu ni smart zaidi kwa sababu binadamu ndio aligundua computer lakini hakuna computer imegundua binadamu;

Mimi nadhani wote wako sawa;

Nini maoni yako?

Credits;Quora forum
IMG_20211204_193619.jpg
images%20(1).jpg
images.jpg
 
Inategemea lakini computer ina strong memory kuzidi binadamu na pia machine learning ambapo computer inajifunza ili itende without following explicit instructions.

Mfano, ukiipa computer objective ya kushinda game ita tafuta mbinu effective ya uchezaji kuzidi binadamu.

Tunashuhudia AI inakua siku hadi siku.

Binadamu atabaki kuwa superior maana computer lazima ipokee instructions kutoka kwa binadamu.
 
Inategemea lakini computer ina strong memory kuzidi binadamu na pia machine learning ambapo computer inajifunza ili itende without following explicit instructions.

Mfano, ukiipa computer objective ya kushinda game ita tafuta mbinu effective ya uchezaji kuzidi binadamu.

Tunashuhudia AI inakua siku hadi siku.

Binadamu atabaki kuwa superior maana computer lazima ipokee instructions kutoka kwa binadamu.
Maelezo mazuri
 
Binafsi siwezi kwa sababu inabidi nitunze memory yangu kwa kazi nyingine, lakini swali linabaki kuwa ni nani anaset algorithm kwa hiyo computer?
Binadamu ndio anaset, ila bado computer itakuzidi maeneo mengi tu mfano hata ukiamua kukariri hio page moja itakuchukua muda mrefu mno na uwezo wa kuitunza pia itakuwa kwa muda mfupi tu,
 
Binadamu ndio anaset, ila bado computer itakuzidi maeneo mengi tu mfano hata ukiamua kukariri hio page moja itakuchukua muda mrefu mno na uwezo wa kuitunza pia itakuwa kwa muda mfupi tu,
Computer iko vizuri sababu in memory kali ambayo sio rahisi kufa labda storage device ipate hitilafu😅!

It remains a computer sababu iko programmed na binadamu ila kimsingi inaweza kufanya mambo mengi sana kwa wakati mmoja tofauti na ubongo wa binadamu! IBM na Bill gates walikuwa magenius kwa kutuletea software na programmable machine!
 
Binadamu ndio anaset, ila bado computer itakuzidi maeneo mengi tu mfano hata ukiamua kukariri hio page moja itakuchukua muda mrefu mno na uwezo wa kuitunza pia itakuwa kwa muda mfupi tu,
Hii scenario yako imenipa ugumu kidogo hapa,maana hiyo computer yenyewe sidhani kama inaweza kukariri hiyo sheet kama unavyosema labda inaweza kustore na kurejesha taarifa inapohitajika.

Kama unachosema kitakuwa sahihi basi kuna uwezekano mkubwa computer ika crush either memory au processor
 
Kuna kitu kinaitwa machine learning ambapo computer inalishwa data iweze kujifunza kufanya kazi autonomous.
Yap! machine learning naijua lakini logic zote ambazo computer device yoyote inafanya ni binadamu tu ndo yuko nyuma ya pazia

Computer device yoyote ile ina S/W na H/W.Hizi component zote master wake ni binadamu sasa hapa maajabu yako wapi.
 
Binadamu waliotengeneza computer wapo smart zaidi kuliko computer, lakini sio binadamu wote kwa mfano computer inaweza fanya calculation ngumu sana, wakati Kuna binadamu magazijuto tu ni shidaa.
Hata binadamu waliotengeza computer wakishindanishwa na computer zao kuna mambo mengi hawataweza kuishinda computer
 
Back
Top Bottom