Je, kanisa la TAG nalo limeunga juhudi?

Je, kanisa la TAG nalo limeunga juhudi?

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,262
Reaction score
18,706
Leo Mh Rais amepewa tuzo na kanisa ambalo enzi za Lina Lazaro na Mzee Klora lilikuwa ni kanisa ambalo lilitela matumaini.

Sipingi kumpa tuzo lakini naangalia hotuba ya Askofu mkuu Bwana Mtokambali kwa kuamua kuwa sehemu ya praise timu bila kuangazia mambo ambayo katika jamii yamezorota kuliko vipindi vyote vya urais wa nchi hii.

1. Watu kupigwa risasi
2. Watu kupotea
3. Kutekwa na kuteswa
4. Kuokotwa mitaani na kwenye fukwe za baharini

Mambo hayo ndiyo kanisa lilitakiwa kuwa jicho. Hakuna nabii kwenye Biblia aliye heka na mfalme mwovu.

Tanzania Assemblies of God, mmepotoka!

IMG_20200813_083206.jpeg
 
Leo Mh Rais amepewa tuzo na kanisa ambalo enzi za Lina Lazaro na Mzee Klora lilikuwa ni kanisa ambalo lilitela matumaini.

Sipingi kumpa tuzo lakini naangalia hotuba ya Askofu mkuu Bwana Mtokambali kwa kuamua kuwa sehemu ya praise timu bila kuangazia mambo ambayo katika jamii yamezorota kuliko vipindi vyote vya urais wa nchi hii.

1. Watu kupigwa risasi
2. Watu kupotea
3. Kutekwa na kuteswa
4. Kuokotwa mitaani na kwenye fukwe za baharini

Mambo hayo ndiyo kanisa lilitakiwa kuwa jicho. Hakuna nabii kwenye Biblia aliye heka na mfalme mwovu.

Tanzania Assemblies of God, mmepotoka!

View attachment 1536928
Haya makanisa ya kilokole na BAKWATA ni kama Kulwa na Dotto!
 
Kanisa lenu hilo litakuna kugawanyika.. kuna waumini ni victim wa utawala huu..
Eti watu kuokotwa mitaani na fukwe za baharini , sujui kuteswa so what? .. Then wakishakemea ?kwani aliyehusika na kufanya hayo anajulikana?.
 
Leo Mh Rais amepewa tuzo na kanisa ambalo enzi za Lina Lazaro na Mzee Klora lilikuwa ni kanisa ambalo lilitela matumaini.

Sipingi kumpa tuzo lakini naangalia hotuba ya Askofu mkuu Bwana Mtokambali kwa kuamua kuwa sehemu ya praise timu bila kuangazia mambo ambayo katika jamii yamezorota kuliko vipindi vyote vya urais wa nchi hii.

1. Watu kupigwa risasi
2. Watu kupotea
3. Kutekwa na kuteswa
4. Kuokotwa mitaani na kwenye fukwe za baharini

Mambo hayo ndiyo kanisa lilitakiwa kuwa jicho. Hakuna nabii kwenye Biblia aliye heka na mfalme mwovu.

Tanzania Assemblies of God, mmepotoka!

View attachment 1536928
TAG si ni wahuni kama wahuni wengine! Kama hawakuyaona haya, ni WAJINGA, WAPUUZI
1. Watu kupigwa risasi
2. Watu kupotea
3. Kutekwa na kuteswa
4. Kuokotwa mitaani na kwenye fukwe za baharini
 
Kanisa lenu hilo litakuna kugawanyika.. kuna waumini ni victim wa utawala huu..
Sasa wewe ulitaka maaskofu waongee nini?. Kama Kuna waumini ni victim wa utawala huu si wao! Makanisani kuna itikadi tofauti za kisiasa So maaskofu kusifia wala haliondoi hilo! Sema wewe ulitaka wapinge ili ufurahi na kuja haraka kuandika uzi humu?
 
Leo Mh Rais amepewa tuzo na kanisa ambalo enzi za Lina Lazaro na Mzee Klora lilikuwa ni kanisa ambalo lilitela matumaini.

Sipingi kumpa tuzo lakini naangalia hotuba ya Askofu mkuu Bwana Mtokambali kwa kuamua kuwa sehemu ya praise timu bila kuangazia mambo ambayo katika jamii yamezorota kuliko vipindi vyote vya urais wa nchi hii.

1. Watu kupigwa risasi
2. Watu kupotea
3. Kutekwa na kuteswa
4. Kuokotwa mitaani na kwenye fukwe za baharini

Mambo hayo ndiyo kanisa lilitakiwa kuwa jicho. Hakuna nabii kwenye Biblia aliye heka na mfalme mwovu.

Tanzania Assemblies of God, mmepotoka!

View attachment 1536928
Nahamia Rc jpili mchungaji wangu wa TAG MGM nimeamua kuhamia Rc rasmi kuanzia jpili hii kwa helini na kanisa lenu
 
Baada ya miaka kama mitano .. kutakua na dini za ajabu sana.. sijajua wanatafuta feva gani kwa serikali kama hii..

Sijui waumini ambao ni hictim wa utawala huu watawasilizaje hawa maaskofu ambao wanajipendekeza kwa utawala huu.

Nadhani makanisa kama RC, KKKT, yameonyesha ukomavu zaidi kuliko hata makanisa mapya..

TAG naonanimejiunga rasmi na kina gwajima, mzee wa upako etc..
Namaanisha hao wanena kwa lugha,mleta mada yuko sawa sawia
 
Mbona baadhi maaskofu wakiiponda serikali mnakuja haraka humu kuandika uzi!?.. Wengine wakisifia inakua nongwa!. Msitake kulazimisha kusikia mnayoyataka kusikia ninyi!.
Hao ni vijana wa Ufipa wajinga. Wanafikiri waliwazalo wao ndio sahihi kuliko wengine. Wanatukana kila mtu mwenye mawazo tofauti halafu wanajiita akili kubwa. Dawa yao inachemka. Watainywa Oktoba 28!

TUKUTANE OKTOBA 28!
 
Luke 9:60 : Jesus said to him, “ Let the dead bury their own dead, but you go and proclaim the kingdom of God.”
 
Kwa hiyo mmeamua kutumia makanisa kutakatisha udhalimu wenu?
Hao ni vijana wa Ufipa wajinga. Wanafikiri waliwazalo wao ndio sahihi kuliko wengine. Wanatukana kila mtu mwenye mawazo tofauti halafu wanajiita akili kubwa. Dawa yao inachemka. Watainywa Oktoba 28!

TUKUTANE OKTOBA 28!
 
Leo Mh Rais amepewa tuzo na kanisa ambalo enzi za Lina Lazaro na Mzee Klora lilikuwa ni kanisa ambalo lilitela matumaini.

Sipingi kumpa tuzo lakini naangalia hotuba ya Askofu mkuu Bwana Mtokambali kwa kuamua kuwa sehemu ya praise timu bila kuangazia mambo ambayo katika jamii yamezorota kuliko vipindi vyote vya urais wa nchi hii.

1. Watu kupigwa risasi
2. Watu kupotea
3. Kutekwa na kuteswa
4. Kuokotwa mitaani na kwenye fukwe za baharini

Mambo hayo ndiyo kanisa lilitakiwa kuwa jicho. Hakuna nabii kwenye Biblia aliye heka na mfalme mwovu.

Tanzania Assemblies of God, mmepotoka!

View attachment 1536928
Kuanzia Leo nimelihama kanisa Hilo.... Narudi FPCT au EAGT
 
Leo Mh Rais amepewa tuzo na kanisa ambalo enzi za Lina Lazaro na Mzee Klora lilikuwa ni kanisa ambalo lilitela matumaini.

Sipingi kumpa tuzo lakini naangalia hotuba ya Askofu mkuu Bwana Mtokambali kwa kuamua kuwa sehemu ya praise timu bila kuangazia mambo ambayo katika jamii yamezorota kuliko vipindi vyote vya urais wa nchi hii.

1. Watu kupigwa risasi
2. Watu kupotea
3. Kutekwa na kuteswa
4. Kuokotwa mitaani na kwenye fukwe za baharini

Mambo hayo ndiyo kanisa lilitakiwa kuwa jicho. Hakuna nabii kwenye Biblia aliye heka na mfalme mwovu.

Tanzania Assemblies of God, mmepotoka!

View attachment 1536928

Anaitwa Emmanuel Lazaro si Lina
 
Back
Top Bottom