Je, kanisa la TAG nalo limeunga juhudi?

Je, kanisa la TAG nalo limeunga juhudi?

Leo Mh Rais amepewa tuzo na kanisa ambalo enzi za Lina Lazaro na Mzee Klora lilikuwa ni kanisa ambalo lilitela matumaini.

Sipingi kumpa tuzo lakini naangalia hotuba ya Askofu mkuu Bwana Mtokambali kwa kuamua kuwa sehemu ya praise timu bila kuangazia mambo ambayo katika jamii yamezorota kuliko vipindi vyote vya urais wa nchi hii.

1. Watu kupigwa risasi
2. Watu kupotea
3. Kutekwa na kuteswa
4. Kuokotwa mitaani na kwenye fukwe za baharini

Mambo hayo ndiyo kanisa lilitakiwa kuwa jicho. Hakuna nabii kwenye Biblia aliye heka na mfalme mwovu.

Tanzania Assemblies of God, mmepotoka!

View attachment 1536928
Aliyehongwa hapo ni yule anayejiita mtumishi wa Mungu. Kwa kufumbia macho uovu badala ya kuukemea.

Sent from my XT1097 using JamiiForums mobile app
 
Na watu aina ya magufuli hutokea mara chache sana kwenye nchi, tulikuwa na nyerere na sasa imepita miaka 30 akatokea magufuli. Si ajabu ukafa ama tukazeeka hajatokea mwingine. This man is our hero na tusipojua kumtumia dunia itatucheka
 
Leo Mh Rais amepewa tuzo na kanisa ambalo enzi za Lina Lazaro na Mzee Klora lilikuwa ni kanisa ambalo lilitela matumaini.

Sipingi kumpa tuzo lakini naangalia hotuba ya Askofu mkuu Bwana Mtokambali kwa kuamua kuwa sehemu ya praise timu bila kuangazia mambo ambayo katika jamii yamezorota kuliko vipindi vyote vya urais wa nchi hii.

1. Watu kupigwa risasi
2. Watu kupotea
3. Kutekwa na kuteswa
4. Kuokotwa mitaani na kwenye fukwe za baharini

Mambo hayo ndiyo kanisa lilitakiwa kuwa jicho. Hakuna nabii kwenye Biblia aliye heka na mfalme mwovu.

Tanzania Assemblies of God, mmepotoka!

View attachment 1536928
Hili Kanisa viongozi wake wanajielewa, hawabwekibweki hovyo kama maaskofu wenu kina bagonza. Propaganda zenu za kipumbavu za watu sijui kutekwa, kuteswa na kupigwa risasi hayana nafasi kwenye hili kanisa. Wao wanaangalia maendeleo na vision ya kiongozi.

Huyo mtu wenu aliepigwa risasi mpaka leo kamficha dereva wake. Mwanzo alidai ni kwa ajili ya usalama wake, lakini cha ajabu yeye karudi dereva ameendelea kufichwa. Sasa Kati ya dereva na yeye nani anatakiwa kulinda usalama wake zaidi? Ndo maana Viongozi wa dini wenye werevu wakitafakari mambo kama haya, wanaona kabisa hivi Vyama ni magenge ya wahuni yenye maslahi binafsi na siyo nchi.
 
Nahamia Rc jpili mchungaji wangu wa TAG MGM nimeamua kuhamia Rc rasmi kuanzia jpili hii kwa helini na kanisa lenu
Huku utakutana na pengo la rukwa nalenyewe ni hivyohivyo
 
Eti watu kuokotwa mitaani na fukwe za baharini , sujui kuteswa so what? .. Then wakishakemea ?kwani aliyehusika na kufanya hayo anajulikana?.
Ama kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni

Kama kiongozi una Dola, una hela za Kodi ya wananchi, una Kila kitu katika Dunia hii, unashindwa kuwajua hao wasiojulikana bhas haufai kuwa kiongozi wa watu.

mgema akisifiwa sana tembo analitia maji.
Tunashukuru tumempata tembo wakuitia maji iyo pombe

*# Haki uinua Taifa *

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Huyo Mtokambali ni ibilisi halisi.
Haoni jinsi wananchi walivyoporwa uhuru wao ktk awamu hii?
Bila uhuru hakuna haki. Bila haki hakuna amani.
TAG wamekuwa sehemu ya kuinajisi haki ya Watanzania.
Uhuru upi ulioporwa Wewe?
 
Chadema imeongiaje humu kuu.. lini umesikia ccm tumeridhika na uongozi huu.

Unadhani tunapenda ndugu zetu wanavyo potea na anavyo jaza ndugu zake kwenye nafasi zote nyeti na kuiojenga huko kijiiini kwake chato.

Airport ya chato inasemekana imegharimu zaidi ya bil 30 ambapo tungeqeza pata vituo vya afya kama 60.
Ushahidi uko wapi? Kanisa la TAG, na Katoliki ni makanisa yenye uimara kwenye mifumo

Hayaendi kwa mihemuko ni kwa ushahidi usio na Shaka ndipo wadimamie Jambo

Sio porojo za mitandaoni

Chadema hawajui siasa wanagombea. Na kila mtu vyombo vya dola wanagombana navyo, serikali wanagombana nayo,bunge spika na Naibu spika wanagombana nao ohh bunge dhaifu mahakama wanagombana nyo ohh mahakama CCM hiyo, viongozi wa Dini wanagombana nao ohh waunga juhudi!! Vyombo vya habari wanagombana nao kwa kusema havitaki kurusha habari zao zilizo kinyume na maadili ya uandishi!!!

Naiona chadema itashidwa uchaguzi mapema asubuhi toka waondoke akina Slaa na akina Lowasa Chadema limekuwa chama lililopagawa linagombana na kila mtu halijuwi kujenga mahusiano mema ambayo Ni muhimu kupata ushindi

Kushinda uchaguzi si kutegemea sanduku la kura tu!!!!!!
 
Ile airport chato ina umuhikungani.

Ndugu zake walio jaa wizarabya fedha inakuaje.

Ndugu yake anaye taka kumpa ubunge kawe wewe umeridhika tuuu

Basi utakua zuzu aliye changamka.
wamefanya uchunguzi kati ya mtu aliyezunguka barani ulaya kueneza chuki dhidi ya nchi yake na yule ambaye anamadaraka lakini hajawahi kwenda hata hapo kwa malkia wakagundua nani ni mzalendo wa kweli,endapo nchi hii mambo yakiharbika yupo,atakayefia hapahapa na yupo atakayekwenda ubelgiji.
 
Acha kutisha waumini..
Byue watu Magufuli ni mteule wa Mungu na mpakwa mafyta wa BWANA. Kupingana nayr nivkwenda kinyume nna amri ya Mungu. Ukiobana wachungaji, mashehe, wanamziki wanamuunga mkono hao ndo wana watu wengi sana nyuma yao, na kama una akili timamu basi mtu wa aina hii kupambana naye haiwezekani.
 
Acha kulingajishe nyerere na vitu vya ajabu ajabu..
Na watu aina ya magufuli hutokea mara chache sana kwenye nchi, tulikuwa na nyerere na sasa imepita miaka 30 akatokea magufuli. Si ajabu ukafa ama tukazeeka hajatokea mwingine. This man is our hero na tusipojua kumtumia dunia itatucheka
 
Byue watu Magufuli ni mteule wa Mungu na mpakwa mafyta wa BWANA. Kupingana nayr nivkwenda kinyume nna amri ya Mungu. Ukiobana wachungaji, mashehe, wanamziki wanamuunga mkono hao ndo wana watu wengi sana nyuma yao, na kama una akili timamu basi mtu wa aina hii kupambana naye haiwezekani.
Haungwi mkono na viongozi wote wa dini. Wapo ambao bado wanayaona maovu na kuyakemea. Mfano askofu Niwemuguzi, askofu Bagonza, sheikh Ponda n.k.
 
Leo Mh Rais amepewa tuzo na kanisa ambalo enzi za Lina Lazaro na Mzee Klora lilikuwa ni kanisa ambalo lilitela matumaini.

Sipingi kumpa tuzo lakini naangalia hotuba ya Askofu mkuu Bwana Mtokambali kwa kuamua kuwa sehemu ya praise timu bila kuangazia mambo ambayo katika jamii yamezorota kuliko vipindi vyote vya urais wa nchi hii.

1. Watu kupigwa risasi
2. Watu kupotea
3. Kutekwa na kuteswa
4. Kuokotwa mitaani na kwenye fukwe za baharini

Mambo hayo ndiyo kanisa lilitakiwa kuwa jicho. Hakuna nabii kwenye Biblia aliye heka na mfalme mwovu.

Tanzania Assemblies of God, mmepotoka!

View attachment 1536928
Sio jukumu lake, hata wewe ukisema inatosha.
 
Nahamia Rc jpili mchungaji wangu wa TAG MGM nimeamua kuhamia Rc rasmi kuanzia jpili hii kwa helini na kanisa lenu
Na uende, safari njema. BWANA atajitwalie kondoo wengine. Hata mawe atayainua
 
Baada ya miaka kama mitano .. kutakua na dini za ajabu sana.. sijajua wanatafuta feva gani kwa serikali kama hii..

Sijui waumini ambao ni hictim wa utawala huu watawasilizaje hawa maaskofu ambao wanajipendekeza kwa utawala huu.

Nadhani makanisa kama RC, KKKT, yameonyesha ukomavu zaidi kuliko hata makanisa mapya..

TAG naonanimejiunga rasmi na kina gwajima, mzee wa upako etc..
Mtu akiwa tofauti na upinzani, anwonekana mbaya.
Askofu nae ni binadamu. Huo si msimamo wa kanisa.
 
Leo Mh Rais amepewa tuzo na kanisa ambalo enzi za Lina Lazaro na Mzee Klora lilikuwa ni kanisa ambalo lilitela matumaini.

Sipingi kumpa tuzo lakini naangalia hotuba ya Askofu mkuu Bwana Mtokambali kwa kuamua kuwa sehemu ya praise timu bila kuangazia mambo ambayo katika jamii yamezorota kuliko vipindi vyote vya urais wa nchi hii.

1. Watu kupigwa risasi
2. Watu kupotea
3. Kutekwa na kuteswa
4. Kuokotwa mitaani na kwenye fukwe za baharini

Mambo hayo ndiyo kanisa lilitakiwa kuwa jicho. Hakuna nabii kwenye Biblia aliye heka na mfalme mwovu.

Tanzania Assemblies of God, mmepotoka!

View attachment 1536928
Eti wameokoka kumbe ni wanafiki wakubwa
 
Baada ya miaka kama mitano .. kutakua na dini za ajabu sana.. sijajua wanatafuta feva gani kwa serikali kama hii..

Sijui waumini ambao ni hictim wa utawala huu watawasilizaje hawa maaskofu ambao wanajipendekeza kwa utawala huu.

Nadhani makanisa kama RC, KKKT, yameonyesha ukomavu zaidi kuliko hata makanisa mapya..

TAG naonanimejiunga rasmi na kina gwajima, mzee wa upako etc..

Katika mfumo wa kujitafakari kijamii kuna mambo sita (6) muhimu na ya lazima na ndio huwa mzani wa ama wewe uko sahihi au wenzako wako sahihi.
1) Wewe ni nani?, una nini? uanufahamu wa kiwango gani? ume elimika kwa kiwango gani?wazazi wako wanaufahamu gani? elimu gani?
2) Marafiki zako ambao muda mwingi mnautumia katika maisha ni kina nani? Elimu yao? ufahamu wao? uwezo wao kijammii?
3) Viongozi wako ni nani? wanafanya nini kuishi? ni watu wenye mafanikio jamii inayatamani?
4) Marafiki wa Viongozi wako ni nani? wakoje? jee unalazimika na kutamani maisha yao?
5) Hiyo jamii yote, marafiki, Viongozi wako? Marafiki wa Viongozi wako, jee ni watu wanavutiwa na maisha yako?
6) Jamii hiyo ambayo inakuzunguuka inakubalika vipi njee ya ninyi mlio fungamana?

Ukiwa na muda baada ya tafakari ya hayo maswali , uamuzi wowote utakaofanya utakuwa sahihi kwako kwa kuwa utakuwa unajibu mahitaji yako na jamii inayozunguka. Asante.
 
Back
Top Bottom