sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,524
- 863
MWENYEKITI WA JUMUIYA YA MASHARIKI Rais Kikwete amewataka viongozi wa jumuiya hiyo kuepukana na maneno ya yenye kuzua chuki kwa mataifa mengine ili kuulinda umoja huo. Hili ni neno jema sana , lakini sisis sote tunafahamuana vizuri mno, hasa tukikumbuka mwaka 1977, je hili litawezekana ...?