Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,217
- 3,125
Wengi wanafiki tu.Wewe leo hii mfano uteuliwe ubunge,halafu upewe wizara utachomoa?Wengi wapiga kelele JF kwavile wako nje ya system,lakini wakikatiwa ulaji ndiyo hao watakuwa wakwanza kuifisadi nchi.
Wewe wasema. Kuna maisha nje ya ufisadi mazee.