WiseLady
JF-Expert Member
- Jan 22, 2010
- 3,269
- 531
I miss u...AD
same do i to kimey!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I miss u...AD
Hommie nimesikia kwanza wanataka kujenga hoteli, uwanja wa ndege, fly overs na kadhalika maana population ya watu imeongezeka, itabidi twende as soon as possible nitakupitia usalule na 500 zetu mfukoni tukamuone babuBukheri wa Afya!! sasa lini tunaenda Loliondo?
Mama mia look who's here aisee me miss u kwelisame do i to kimey!
Kumiss ni hisia na huwezi kuamua!! so inatokea tu wala hulazimishi!!
unjua siku hizi tumefanya kama salamu ndo maana inaonekana kama tunaamua vile....
Mimi nukiwambia nimeku miss Husninyo ili kuweka mambo sawa utajibu "miss you too" wakati kiukweli sikuawepo mawazoni kwako!!
Mama mia look who's here aisee me miss u kweli
Miss you too!!same do i to kimey!
Miss you too Husninyo...!!hata mimi nilikuwa najua hivyo.
Sasa mtoa mada sijui huwa anakaa chini anaamua ammiss x wake.
Dah!
Ila mimi miss kimey.
Nasubiria jibu la i miss you too.
Aisee wewe unataka majeshi kutoka nchi za nje yaje hapa nani EX hebu omba radhi kwanza kabla mwenyewe hajaja hapa
Kheee Kheee Kheee hilo swali niliisha jibu, halafu second hilo swali halituhusu mimi na AD because she's not my EX but my W.I.F.ERe: Je,Is it unfair to miss your Ex?
Hilo ndo swali sasa how come wewe unamimiss AD?? Is she your EX???
Kheee Kheee Kheee hilo swali niliisha jibu, halafu second hilo swali halituhusu mimi na AD because she's not my EX but my W.I.F.E
Halafu nimegundua wewe ndio unaweza ukafanya hata nikapandishiwa mahari kwenye kulipaWewe hujajibu swali langu???
Acha kupotezea. Wife uwiiii haya mie ngoja nikae kimya.
Busa wala manguree hujaleta ushaanza kuita wife??!!
Utakapofikia hatua ya kummiss X wako ina maana huridhiki tena na mke /mme wako ..
na ni hatua mbaya katika mahusiano yako.
Vip Ben unajisikia kummiss X?:wink2:
Mi sioni kama ni tatizo, hata kama mnakutana kwa mema its ok, kama una mpenz mwingne na huyo ex wako mnakutana/kumisiana bila sex haina shda
Kwa hiyo Dr unataka kuniambia kuwa tatizo ni 'Sex' tu! Kama bado wana hisia za kimapenzi, wanawasiliana mara kwa mara, labda wanaspend time pamoja lakini hakuna sex..then its okey?!