Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,515
- 6,489
Kuna wakati nawamiss hata nilio "hit and run", a one night stand, ila nafanya yote haya kimya kimya bila mwenzi wangu kujua.
Hehehe!Raha kweli kumuona ex wako na mtu ambae hajakupiku...yani hata kama bado uko mwenyewe you can still walk around with pride!Ukweli ni kwamba kummiss Ex kama uko na mtu mwingine unakua hujaridhika!Ila ukiwa na mtu ambae ni bora zaidi kwa kila kitu huwezi kummiss Ex..hata kumkumbuka labda kwa kulaumu tu kilichomleta yeye na kumchelewesha mpenzi wako wa ukweli!Kwahiyo it's not fair...Anything less is a mess, hata yeye akikuona atacheka.
Wakuu,hivi ni vibaya kum-miss Ex wako?Utakuwa humtendei haki mke/mume au Boyfriend/girlfriend wako wa sasa?:wink2::wink2:
Ahaaa ahaaa Susy pole sana, do something au ameishachukuliwa na mtu mwinginemie nammiss sana ila sina cha kufanya!!!!!!!!!!!!!!
I miss u...AD
Ki kazi zaidi!!I miss u...AD
Aisee wewe unataka majeshi kutoka nchi za nje yaje hapa nani EX hebu omba radhi kwanza kabla mwenyewe hajaja hapaHuyu ni EX??? Na wasiwasi
Aisee hommie hivi Mama Loliondo mzimaKi kazi zaidi!!
Kumiss ni hisia na huwezi kuamua!! so inatokea tu wala hulazimishi!!Hivi kummiss mtu huwa tunaamua au inatokea tu?
Bukheri wa Afya!! sasa lini tunaenda Loliondo?Aisee hommie hivi Mama Loliondo mzima
You are the one who is making it complicated, i don't see any complications in this issue:rain::rain: its complicated