Je, ingekuwa wewe ungefanyaje?

katoto kazuri

JF-Expert Member
Feb 10, 2018
6,083
5,659
Nakumbuka nikikuwa young ila nilikuwa ni na umri wa kuelewa jambo. Nililelewa kwenye familia standard i mean mahitaji ya muhimu hukosi. Familia ilikuwa ya dini na pia ina mapenzi ya kutosha kwa watoto. Ukiwa unafanya jambo unakuwa unaadhibiwa kama ni umekosea ila maisha yetu hayakuwa ya shida kusoma unasoma vizuri bila mawazo.

Asubuhi ya mwisho kumuona Baba ambapo sikuwa najua kuwa ndio mwisho wake niliaga naenda shule na kurudi nikakuta nyumba imebomolewa vitu vimechukuliwa vyote, gari limeibiwa, pesa kwa safe hakuna chochote hakuna.

Nilipoenda mlango wa nyuma nikamkuta baba yangu ninayempenda kakatwakatwa na kila kiungo kimegawanyika. Sio yeye tu na kijana wakazi wote damu ikiwa imetiririka kama mto Wami.

Nilikuwa nimezoea maisha ya furaha amani na kujaliwa kama malkia Cleopatra, hakuna kitu niliwahi kosa. Hapo bi mkubwa kashastaafu na mimi ndio kwanza nasoma na baada ya kila kitu ndugu wa baba wakadai tutoke kwenye nyumba na kumvizia bi mkubwa kumpa kipigo cha mbwa akiwa anaelekea kanisani.

Je, ingekuwa wewe ungefanyaje?
 
  • Thanks
Reactions: lup
Mnaulizaga litulijia sana kuliko maswali yanauopaswa kuulizwa

Mi mi ningefanyaje sasa ?
 
Unazania maisha mapya ni rahisi tu ?
My dear kuna vitu havibadiliki hata mwisho wa dunia. I can feel the pain but The truth is, unless you let go, unless you forgive yourself, unless you forgive the situation, unless you realize that the situation is over and hauwezi badili kitu , you cannot move FORWARD.
nmekutana na mengi tena makubwa kuliko yako em jaribu kuwa unaenda COURT kwenye kesi za CRIMINAL utaomba dunia isimame ushuke...!!
 
Mkuu niombe radhi
Huyu bi-dada nlikutana nae kwenye uzi mwingine akasema anatuchukia cuz wameru walimuua baba yake!! Nkampa msaada aanze kutupenda
sketch-1534260944392.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom