Jua kabisa umri, uzito na kimo vinatakiwa viendane ili mwili uwe na balance na afya kikizidi kimoja kati hivyo ujue utapata shida KiafyaMimi ni kijana mwenye umri wa miaka 20, ni mfupi nataka niongeze urefu wa mwili je, inawezekana!?
Msaada tafadhali.
Luka 12:25Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 20, ni mfupi nataka niongeze urefu wa mwili je, inawezekana!?
Msaada tafadhali.
Kumbe wewe andunje watu wafupi wanakuaga wakorofi sana.Hahah mkuu haiwezekani. Kuna kipindi cha ukuaji nilikuwa natamani kuwa na kimo sawa na washkaji zangu ila ikawa ngumu...
Haiwezekani kabisa.. Jikubali hivyo ulivyo utaishi maisha ya amani na furaha sanaMimi ni kijana mwenye umri wa miaka 20, ni mfupi nataka niongeze urefu wa mwili je, inawezekana!?
Msaada tafadhali.
Kipindi unambiwa ulale ukue ww hutaki upo busy na tv, haya tayari umepiga 20 mda wa kuota unakimbizwa umeisha saivi unaota mapenzi tu.Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 20, ni mfupi nataka niongeze urefu wa mwili. Je, inawezekana!?
Msaada tafadhali.
Mie sio andunje mkuu i'm 5"6!Kumbe wewe andunjewatu wafupi wanakuaga wakorofi sana...huwa mnajihisi mnadharaulika
Andunje ww 😀😀 inatakiwa mtu angalau uwe na 5.8Mie sio andunje mkuu i'm 5"6!
Kuongeza urefu inawezekana,nenda kasome kitu kinachoitwa "limb lengthening procedure"Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 20, ni mfupi nataka niongeze urefu wa mwili je, inawezekana!?
Msaada tafadhali.
Hamna kitu kama hicho. Dwarf ni 4" kushuka chiniAndunje ww 😀😀 inatakiwa mtu angalau uwe na 5.8
Aaaah weeee jiangalieeee wewe dwarf nikuanzia 3" kushuka chini.Hamna kitu kama hicho. Dwarf ni 4" kushuka chini
Wanawake pesa tu wewe.....hata ukiwa mrefu kama barabara kama huna pesa ni bure!!Wanawake Punguzeni Dharau kwa Wanaume Wafupi..
Kuna demu amekuzingua, tafuta pesa ndo dawa pekee!!Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 20, ni mfupi nataka niongeze urefu wa mwili je, inawezekana!?
Msaada tafadhali.
Eeeehh iyoEeh hio hio mkuu