baby success
JF-Expert Member
- Jul 14, 2022
- 548
- 1,803
Mwanaume anayekudanganya utamjua tu hata awe anakupa vizawadi au la KWA maelezo hayo mwambie tu asitegemee chochote hapo na hata akimuoa kweli hapo mume hana
nafanana na Jux ila mi Sina Hela.Kama upo serious tuma wasifu wako dm nimtumie akikubali nakupa namba
Samahani dada nimependa sauti yako naweza kupata nafasi kwenye ufalme wa moyo wako?Ha ha ha mimi namuombea ushauri tu jamani
Samahani dada nimependa sauti yako naweza kupata nafasi kwenye ufalme wa moyo wako?
nafanana na Jux ila mi Sina Hela.
Niko
serious ila pia nahitaji nayeye awe serious juu ya hilo. No hide and seek games. Nipe details zake DM akiwa kanyooka ndoa kwa DC chap mambo yasiwe mengi.
yy na jamaa yake bado watoto waendelee kucheza tu
Kama jamaa anaitwa Alberto mweusi hivi mtu wa Mbeya njoo PM
Mapenzi hua ni ya muda mrefu, ila ndoa hutokea tu ghafla, kama ni mtu mwingine au ni huyo huyo bwana, mala zote mipango mingi huishia njiani, acha mambo yaende na ikifika mahala ni sehemu sahihi itakua, iwe ni kwa huyo huyo bwana au mtu mwingine, swala hua ni upendo basi, na hii wanawake wengi hukosea kusema muda unakwenda anachelewa kuzaa, anaweza akaenda sehemu isiyo sahihi Kwa kigezo Cha kuwahi kuzaa na kua kwenye ndoa na akaja kujuta tu, isipokua kama hata na huyo jamaa bado anaishi kwao maana yake hawa unawaongelea ni watoto watoto, mwanaume anadanganya nyumbani kua yupo shift ya usiku? Mwanaume anakaa kwake na ana maamuzi yake, huyu ni mtoto wa kiume na si MWANAUME
Sent from my RMX2185 using JamiiForums mobile app
Vibuti??Wakati sie tunaambulia vibuti tuu huku pm kutoka kwa warembo wa JF. Ila huyu mrembo atakuwa desparate sana na ndoa....i suspect demu hana tako🤣🤣🤣🤣
Ndoa ya bomani maana yake.Kwa DC tena, ??? Poa
Nikitomgoza demu pm naambulia kukataliwa tuu...vipi wewe upo single?Vibuti??
Mkuu umesema ukweli kabisa !!Mwamba bado anasubiria michongo ikae sawa huyo bidada atulie.
Wakati mwingine huwa tunafanya delaying tactics ili kuweka mambo sawa.
Usikute msela anaweka sawa ghetto lake ili siku akimpeleka mdada kumtambulisha asiende kulala chini au mzungu wa nne na mawifi zake.
Pengine wazazi wa mwamba wako kwenye conflict anasubiri hali ya hewa itulie ndiyo ampeleke manzi.
Wanaume ndivyo tulivyo tatizo lenu wadada wa siku hizi mapenzi mnajifunza kwenye movie za kifilpino na Korea ndiyo maana mnakuwa na papara.
Nyota yangu na yako haitoendana mie nimeambiwa nyota yangu nikuolewa na muarabu hivi saivi na mpango wa kutafuta marafiki wenye warabu niende ili nipate mpenzi anioeNikitomgoza demu pm naambulia kukataliwa tuu...vipi wewe upo single?
Hii kali ya mwaka...sasa yule enginer vipi tena...sii mlikuwa mnaenda kufunga ndoa zenjiNyota yangu na yako haitoendana mie nimeambiwa nyota yangu nikuolewa na muarabu hivi saivi na mpango wa kutafuta marafiki wenye warabu niende ili nipate mpenzi anioe
Ina maana kwa Sasa hakuna kitu anafaidi mpaka aoleweMwanaume anayekudanganya utamjua tu hata awe anakupa vizawadi au la KWA maelezo hayo mwambie tu asitegemee chochote hapo na hata akimuoa kweli hapo mume hana
1. Hujui ukweli kama unataka usadiwe kiserious njoo pm nikuulize maswali nipo serious .
Au kama unaweza nijibu hapa huyo mtu anaumri gani hilo kwanza
Kwanza pole maana hili ni lako tukiachana na kimvuli ulichotumia.
Nikuulize, unataka ndoa na mwanaume unaemtuhumu kwa yote hayo? Unajua ku-hack simu ya mtu ni kosa kisheria? Mtu anaejificha akitoka kwao ndoa inatoka wapi hapo? Hujui kutofautisha mario na mchakarikaji? Umeamua kufuga broila dada hakikisha linapata huduma zote.