Moyibi
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 1,054
- 701
Taarifa zinasema kuwa kijana huyo ambaye anajihusisha na mapenzi ya jinsia moja(Ushoga), alionywa na Baba yake huyo wa Kambo Martin Blackwell kuacha kuleta wanaume katika nyumba wanayoishi.
Ubuyu unaendelea kueleza kuwa siku ya tukio, Martin alimfuma kijana wake Chumbani wakifanya ‘uchafu’ huo usiokubalika na jamii na ndipo alipochukua uamuzi wa kumwadhibu kwa kumwagia maji ya moto ambayo yamemuunguza vibaya mgongoni.
Baba huyo anashikiliwa na Polisi huku taratibu za kumfikisha Mahakani zikifuatwa.