Je, huwa unasali kabla ya kula chakula?

Je, huwa unasali kabla ya kula chakula?

Kina mama ntiie kabla kupika chakula ule utoko wa asubuhi wa papuchi kabla hawajaoga wanauoshea kwenye chombo kitakachotumika kupikia chakula hicho , sisi tunakula tu [emoji1787][emoji1787]
Kuna ile stori ya Lwanda magere.
Anasema wachawi huwa wanaonana mambo yao.

Aliingia mgahawa kuagiza chakula,akaona kimazingara Binti wa mama ntilie anatia damu ya hedhi kwenye chakula.
Akawa mkali,akawaambia yeye anataka chakula kisafi.
Na Kuna couple ilikuwa pembeni ,waliagiza chakula..
Kabla ya kula walipiga ishara ya msalaba,,lakini bado uchafu uliendelea kuwepo..
Kwahiyo kumbe hata kwenye kusali,yatupasa kusali kwa kumaanisha,,siyo tu ili mradi tumesali,au ili tuonekane.
 
Sio kuondoa mambo mabaya tu,bali kushukuru pia kwa riziki Uloipata maana kuna wengine wanakufa kwa njaa,wengine siku tatu hajui ale nini

Nachukizwa na mtu asie na utaratibu wa kushukuru.akishika tu shahani unasikia sauti vijiko vinagongana na meno.
Hakika
Maana wengine wanakufa njaa
Wengine kula yao ni ya shida.


Kuna clip niliona sijui you tube
Familia inaenda kuokota mifupa ya nyama mabuchani,,wanarudi wanaipika wanakula kama mboga.

Nililia sana ,nikamwambia Mungu akhsante unanipa chakula kila siku.


Hapo pa kufakamia chakula tupo wengi,
Hasa kipindi ambacho njaa imekukamata kweli.
Mungu Atusaidie.
 
KUPATA HELA KIDOGO Ushaanza kuita wakulima wachafu,vyakula vichafu jiangalie wew maisha Yana UP and DOWN[emoji28]
Pole Mkuu,
Naona umetafsiri ujumbe kwa mtazamo wako ambao ni tofauti na uzi wangu.

Hata mimi ni mkulima na nakula na nimesoma kwa nguvu ya kilimo.
 
Yaani
Inasikitisha sana.


Huwa natafakari sana,,Nafsi inaniambia kwanini husali?
Hata kule sokoni,unashangaa wamama wanaofanya biashara moja wamenuniana..
Wengine Wana njia zao mbadala za kivuta wateja.

Ni muhimu sana kusali.
Kweli kabisa, ni wachache tunafanya kwa kumtegemea Mungu.
 
Hii kiafya ina faida gani?
Faida ipo..

Hujui kama unaweza kukabwa na ukafa!
Unamuomba Mungu atakase abariki chakula,,kilete afya na si mauti.



Niliwahi soma stori ya Baba yake Vanessa mdee kama sijakosea.
Katika kula,alikabwa na mfupa wa samaki..na katika harakati za huduma za kuutoa mambo yakaenda tofauti.


Kwahiyo maombi ni muhimu,kiafya,kiroho,kimwili, nk.
 
Aisee kipindi nikiwa home vitu vingi tunavyovila vilikua vinapatikana katika mazingira ya nyumbani maana tunavilima wenyewe ila tulikua tunasali lkn siku hz nanunua kila kitu ila siombeagi[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Hata Mimi kipindi cha nyuma nikiwa nyumbani almost kila kitu tunapata shambani
Ie mahindi,maharage,karanga ,yaani kila kitu

Ila bado at some point utakuwa exposed tu na kukutana na hivi vitu
Mfano; mahindi utapeleka mashineni kusaga unga.
Hizo mashine huwezi jua kama kupo salama.

Alizeti utaenda kukamua mafuta mashineni.

Pembejeo za mazao kama mbegu,mbolea utaenda kununua dukani.
 
Chakula hakiweza pita bila kupiga ishara ya msalaba na kufuatisha "Kwa jina la Yesu" shida ipo kwenye kulala aisee.
Naangalia series hadi usingizi unanijaa nafunga pc naisukumiza huko nalala. Nikijitahid sana nasema kwa jina la yesu.
Hongera
Wengine eneo la chakula bado ni changamoto,tuna inconsistency.

Hadi nimeamua niwe nasali jikoni muda napika,,ili incase nikasahau kuomba wakati wa kula basi niwe nishasali.

Nikinunua kitu lazima nitamke neno juu yake.
 
"Mungu bariki chakula hiki tupate nguvu ya kukutumikia vema. Amen"
Mapanga shah...

Personaly, one day nlitafakari hili suala. Nkaona tunafanya ile.sala kwa mazoea tu.
Lakini nkaona umuhim wa kuifanya sala ile kwa shukrani kubwa kytoka moyoni maana sio kwa nguvu zetu bali n kwa rehema tu.

NB: Hua sipendi wale watu wanakula lets say mgahawani au hata smtyms majumbani, alaf wanaeka uchafu chini (mezani n.k).
I always feel bad kwakua sioni kama n heshma lets say waiter akuje aanze kukusanya uchafu wako uliotoa mdomoni ukauacha hapo mezani. Hata yeye n binadam na ana kinyaa pia. Plus, hata kama n kazi yake, utu ni muhim. N vyema ukinaliza kula, chukua mifupa yako weka kwenye sahani iwe rahisi kwake kwenda kuimwaga rather than kuanza kuishika. Na kama n majumbani, ukimaliza kula peleka sahani umwage uchafu wako kwenye dustbin alaf uache sahan ikiwa vyema. Na pia, kwa ubora zaidi, ukikula, jitahd uweke mifupa yako hapo hapo kwenye sahani yako rather than kuyaweka chini..
 
Back
Top Bottom