JE huu ni uungwana????????

JE huu ni uungwana????????

matumbo

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2011
Posts
7,224
Reaction score
3,960
kupandisha bei ya maziwa mtindi ukidai eti petrol imepanda bei
 
kunyamba barabaran kimya kimya uku unatembea alafu unajifanya hakuna kitu kimetokea..
 
kwenye vituo vya daladala kuwauzia wenzio mishikaki ya nyama ya paka kisa umeitia ndimu na tangawizi inanukia kama mbuzi
 
kumfundisha mwanao nidhamu mpaka akitaka kufungua mlango wa friji anapiga hodi
 
kubadilisha majina ya timu za wenzako mara arsenane,chelthree,liverfour
 
kumkosoa mtu kwa kutumia kabila lake''we mhaya ebu njoo hapa! hivi we mwanamke utaacha lini tabia zako za kihaya??''
 
'' we konda ebu shusha hapo kwenye nyumba yenye geti la kijani!''utafikiri gari umekodisha
 
kudharau kazi za wenzako ''yani mtoto amefeli mnashindwa ata kumpeleka ualimu''
 
kualika watu baa alafu badala ya kuzungusha round we unazungusha pembetatu, yani wewe,demu wako na shemejio
 
kualika watu baa alafu badala ya kuzungusha round we unazungusha pembetatu, yani wewe,demu wako na shemejio

kaka wewe ni mkali, hizo zote ulizoziachia zipo juu ile mbaya.
 
kumfukuzia msichana mpaka kanisani,alafu unajifanya unampa ofa ya kumtolea sadaka eti''usihofu dada acha tu nitatoa na ya kwako''
 
kuingia ofisi za watu na t-shirt lako limeandikwa ''kama vp nipotezee''
 
kumfukuzia msichana mpaka kanisani,alafu unajifanya unampa ofa ya kumtolea sadaka eti''usihofu dada acha tu nitatoa na ya kwako''
Ahahahahaaah!! Hii imefunika zote...
 
Back
Top Bottom