Nenda Regency Kuna madaktari wazuri na wazoefu wa Ngozi
Mimi mwanzo nilizunguka mahospital mengi kutafuta tiba, kuna mmj aliniambia nina kansa ya Damu.
Kumbe ni allegy ya Maji. Kitaalamu inaitwa Aquagenic Urticaria. Na aliniandikiwa dawa nikatibiwa nikapona.
Nahamini hata wewe ukienda pale, Utapata huduma nzuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.