Je huu hauwezi kuwa uthibitisho kuwa Watanzania kiasili tuna Wivu wa kutukuka?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,518
108,793
Utakuta pale Mtu Umeme unapokatika tu Nyumbani Kwake ikiwa ni usiku basi utaona anakimbilia ama dirishani au nje kuangalia kama kwa Majirani zake nao upo au umekatika kama Kwake AU kama ukikatika asubuhi / mchana utaona anatoka Kwake kabisa kwenda kuzunguka nje kwa majirani na kuanza kuulizia / kudadadisi kama na kwa Wenzie ( Majirani ) upo au umekatwa.

Je huu sio Wivu wa Kutukuka uliopitiliza Kiwango wa sisi Watanzania?

Naomba kuwasilisha.
 
Sio wivu.. Mtu anauliza majirani ili kujua kama umeme umakatika kwa wote au Kwake tu. Kama n kwake tu inamsaidia kuchukua hatua zaidi za kiufundi.
 
Utakuta pale Mtu Umeme unapokatika tu Nyumbani Kwake ikiwa ni usiku basi utaona anakimbilia ama dirishani au nje kuangalia kama kwa Majirani zake nao upo au umekatika kama Kwake AU kama ukikatika asubuhi / mchana utaona anatoka Kwake kabisa kwenda kuzunguka nje kwa majirani na kuanza kuulizia / kudadadisi kama na kwa Wenzie ( Majirani ) upo au umekatwa.

Je huu sio Wivu wa Kutukuka uliopitiliza Kiwango wa sisi Watanzania?

Naomba kuwasilisha.
Ulitaka afanyeje kwa mfano?
 
Back
Top Bottom