GE2025 Je, hoja za Polepole zinajibika?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Pascal Pole pole kwa hali ilivyo si wa kubeza hata kidogo.. Mambo anayoyafunua ni elimu inayopandikiza uasi utakaodai actions na mabadiliko ndani ya ccm.. Mafunuo yake si ya kubeza hata kidogo! Hii August itakuwa ya moto sana chamani
 
NRNE haijapoa bali shughuli za kichama zimepigwa kitanzi na mamlaka kwa kuhofia moto wake.. Wamwachie mwenyekiti na waruhusu CHADEMA kiendelee na harakati zake muone
 
....kwa kwa pembeni...
Kwamba arudishe electronic card ya Chama ? Sasa atafanye majaribio ya kuona katiba, kanuni na desturi za Chama zinafanya kazi sawa sawa ama ni maandishi tu?

Kiukweli Hiki kinachoendelea kimevuruga modeli zangu nyingi za uchambuzi wa masuala ya siasa nchini. Ndiyo maana siku hizi natumia sana emoji ya kushangaza!
 
Yule ponjolo anasema slow slow hana mizizi ya chama, wala hakijui chama. Alipata tuu u e
nezai ghafla bini vuuu aisee kweli mgambo wanaruka na kukanyagana.
 

Hata Polepole asiposema CCM itashinda tu na imesha shinda uchaguzi no reform sijui nini hizo ni nyimbo tu.
Polepole anazungumzia nchi kushikwa na wahuni sio uchaguzi mkuu, hajapinga namna uchaguzi mkuu unavyofanyika.shida yake ni Chama na uchaguzi ndani ya CCM
 
Nyakati kama hizi wangemuachia japo kidogo lisimba la Kizimkazi.
Tanganyika inahitaji UHURU wa pili!
 
Jana, Polepole amesema hayo mambo ya maadili, Mila na desturi yaliwekwa kwenye katiba ya warioba na ndio maana viongozi hawayataki na wakaichakachua katiba ya warioba - ikawa haina maana tena. Katiba hiyo ilitaka kuwaadabisha viongozi Kama wananchi walivyotaka, but viongozi wakaipindua na kuichakachua na kuondoa hayo mambo ya kuadabishwa.

Kumbe ni viongozi ndio walikwamisha mchakato Halafu wanawasingizia ukawa… taabu tupu…
Sasa mchakato ukianza upya, inabidi katiba ya warioba irudi…Viongozi wanawachezea sana wananchi- imetosha.
 
NRNE haijapoa bali shughuli za kichama zimepigwa kitanzi na mamlaka kwa kuhofia moto wake.. Wamwachie mwenyekiti na waruhusu CHADEMA kiendelee na harakati zake muone
Kwa jinsi Polepole anavyo uwasha, itapelekea wamnganganie Lissu hadi uchaguzi upite. Jana, Musiba naye kalalamika kwamba wajumbe walimfyekelea mbali Kwa sababu tu ya ukaribu wake na Polepole… sijui Kama ni kweli, sasa hao wawili ni moto wa ndani ya ccm, lazima wataudhibiti kabla ya kusambaa huko nje.
Lissu akiachiwa kabla ya uchaguzi, nchi italipuka…
 
Hakuna cha kujibizana becquse majibu yote yapo public

Tuliwaambia hii ni filmee-manyati, na huyo ni decoy tu

Sasa mnaona wenyewe, sensitive matters z imeshakuja diverted

Na mtamchoka jamaa kwenye episode 4 and by then it will be too late kwenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…