Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Taarifa kutoka ofisi ya ccm mkoa wa dsm zinaonyesha kwamba gari mpya kabisa aina ya land cruiser ya ccm mkoa wa dsm imepata ajali na kupinduka na kuwa write off wakati ikiwa safarini kumpeleka mke wa yusuph makamba-katibu mkuu wa ccm mkoani tanga kwenye mapumziko ya mwisho wa mwaka.
Inadaiwa kuwa makamba alichukua gari hilo la ccm mkoa kibabe kwa kutumia cheo chake. Kama angefuata utaratibu ccm makao makuu inayo magari mengi ambayo yangefaa kwa shughuli hiyo, badala ya kujichukulia garo la mkoa ambalo sasa limepata ajali na kuharibika kabisa
naomba kuwasilisha