p_prezdaa
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 432
- 60
kuna jamaa yangu mmoja wa karibu juzi kaja ananiomba ushauri ni nini afanye hili kuondokana na tatizo lifuatalo
jamaa ana mpennzi wake anampenda na anavyosema mpenzi wake pia anampenda, lakini kisanga kinakuja hapa jamaa wakiwa katika mambo flan round ya kwanza inakuwa pouwa, msala anasema kuanzia round ya pili, kwanza jogoo wake amawika vizuri japo anasema kwa kuchelewa, lakin chakushangaza anasema kuwa jamaa akiwa tayari jogoo kawika anavaa mpira ili mambo yaendelee, ajabu kabla ajafanya kitu jogoo analala tena akivua mpira na kujaribu kama anataka wafanye mambo yetu yalee bila mpira jamaa anawika tenaa, akisema avai mpira jamaa analala kama sio yeye vile na kali kuliko anasema ata akijitahidi asimame akiingia kwenye hekaya yake anafika kwa kilele mapema mnoo na kumwacha mwenzio akiwa na matamanio na hamu tele sasa jamaa anaogopa kuibiwa mali zake kwani hayuko tayari kumpoteza huyu mtu wake kwa tatizo hilo, na anasema kuwa mwanzo wa mambo alikuwa fiti sana na huwezo wake ulikuwa mzuri sana kwenye yale mambo sasa jf doctor huyu jamaa anaomba ushauri wa nini chakufanya na je anaweza kulimaliza vp hili tatizo?
jamaa ana mpennzi wake anampenda na anavyosema mpenzi wake pia anampenda, lakini kisanga kinakuja hapa jamaa wakiwa katika mambo flan round ya kwanza inakuwa pouwa, msala anasema kuanzia round ya pili, kwanza jogoo wake amawika vizuri japo anasema kwa kuchelewa, lakin chakushangaza anasema kuwa jamaa akiwa tayari jogoo kawika anavaa mpira ili mambo yaendelee, ajabu kabla ajafanya kitu jogoo analala tena akivua mpira na kujaribu kama anataka wafanye mambo yetu yalee bila mpira jamaa anawika tenaa, akisema avai mpira jamaa analala kama sio yeye vile na kali kuliko anasema ata akijitahidi asimame akiingia kwenye hekaya yake anafika kwa kilele mapema mnoo na kumwacha mwenzio akiwa na matamanio na hamu tele sasa jamaa anaogopa kuibiwa mali zake kwani hayuko tayari kumpoteza huyu mtu wake kwa tatizo hilo, na anasema kuwa mwanzo wa mambo alikuwa fiti sana na huwezo wake ulikuwa mzuri sana kwenye yale mambo sasa jf doctor huyu jamaa anaomba ushauri wa nini chakufanya na je anaweza kulimaliza vp hili tatizo?