Je hili ni tatizo gani na linatibikaje??

Kashasma

Senior Member
Oct 5, 2022
104
74
Habari zenu wana jf....,!! Napenda kwenda moja kwa moja kwenye mada. Mi nina mdogo wangu mtoto wa shangazi sasa miaka 33. Kamaliza chuo mda tu. Na pia ana ugonjwa wa kifafa unamsumbua tangu zamani. Ila shida yake moja akiwa naawzo au kitu kimemuuzi anapenda kukaa pekee yake sana na anakuwa na hasira mara nyingi tu. Namda mwingi kama hana kazi anapenda kukaa ndani tuuu. Pili ni mwoga sana na anakuwa na waswas wa bila sababu. Anaogopa hadi mahusiano ya kimapenzi. Sasa hapo tusaidiane atakuwa na tatizo gani au ndio kwa waganga wa kienyeji?? Pili huko kwa waganga wameenda lakini wapi!!




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iyo depression then kutana na wataalamj wa mambo ya akili Psychiatrist wanaweza msaidia pia
 
Habari zenu wana jf....,!! Napenda kwenda moja kwa moja kwenye mada. Mi nina mdogo wangu mtoto wa shangazi sasa miaka 33. Kamaliza chuo mda tu. Na pia ana ugonjwa wa kifafa unamsumbua tangu zamani. Ila shida yake moja akiwa naawzo au kitu kimemuuzi anapenda kukaa pekee yake sana na anakuwa na hasira mara nyingi tu. Namda mwingi kama hana kazi anapenda kukaa ndani tuuu. Pili ni mwoga sana na anakuwa na waswas wa bila sababu. Anaogopa hadi mahusiano ya kimapenzi. Sasa hapo tusaidiane atakuwa na tatizo gani au ndio kwa waganga wa kienyeji?? Pili huko kwa waganga wameenda lakini wapi!!




Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huyo sio muoga, mahusiano anapenda sana sana ila kinacho mtatiza mpaka aonekane ivo ni ilo tatizo la kifafa coz anajiona kwa iyo hali yake hawezi kuwa na mwenzi hii haimanishi kwamba hana hamu noo anayo ila yeye hofu yake ni kwamba nikiwa na mpenzi itabidi niwe nafanya vitu vya kuendesha maisha akijipima na hiyo hali yake hawezi kuvifanya anaamua bora kuwa mwenyewe tu kuliko kuwa na mtoto wa mtu ambaye yeye kama yeye hawezi kupata huduma za kimaisha na wakaisha kutokana na tatizo lake pili anapenda kukaa pekee ake kwa sababu anajiona mnyonge sio mtu wa kawaida tena ni mtu mwenye mapungufu kama mmezunguka kutafuta tiba bila mafanikio msikate tamaa endeleeni kutafuta,,,na kwa sasa hicho ni kilema chake nawashauri muonyesheni upendo kama mtu ambaye hajiwezi watu kama hawa mda mwingi huwa wanawaza sana kuchukua maamuzi magumu (upendo na kumuonyesha kwamba bado mnapambana ili apone kutampa faraja kubwa sana)

Ahsante folk part II ipo siku ntamkuta rafiki yangu folk
 
Back
Top Bottom