Ihayabuyaga
JF-Expert Member
- Aug 22, 2011
- 413
- 479
Habari wana JF Afya.
Nina watoto 3 wa kiume (5, 3, 1.5 years). Ilianza kwa mkubwa kokwa moja ya korodani upande wa kushoto IKAPANDA juu mpaka sasa imepotea haionekani. Alipopelekwa hospitali daktari akasema kwamba labda ni uumbaji wa Mungu.
Wa pili naye kokwa ya upande wa kulia imeanza kuvimba na kupanda juu.
Wa tatu kokwa moja ya upande wa kulia nayo imeanza kuvimba na kupanda juu.
Swali: je hili ni tatizo gani?
Je athari zake ni nini kama kokwa zikipotelea huko zinakokwenda?
Je kuna suluhisho?
Aksante
Nina watoto 3 wa kiume (5, 3, 1.5 years). Ilianza kwa mkubwa kokwa moja ya korodani upande wa kushoto IKAPANDA juu mpaka sasa imepotea haionekani. Alipopelekwa hospitali daktari akasema kwamba labda ni uumbaji wa Mungu.
Wa pili naye kokwa ya upande wa kulia imeanza kuvimba na kupanda juu.
Wa tatu kokwa moja ya upande wa kulia nayo imeanza kuvimba na kupanda juu.
Swali: je hili ni tatizo gani?
Je athari zake ni nini kama kokwa zikipotelea huko zinakokwenda?
Je kuna suluhisho?
Aksante