Umewahi mpenda mtu humu Jamii Forums ukaona huyu kakupenda kweli na ukampenda kweli halafu mlipoachana ikakuuma roho? Mimi ndiyo.
Niliwahi kumpenda mwanaume humu na hakuniacha, ila nilishindwa masharti, ila waleo namkumbuka sana. Ila yeye ndiyo basi tena, hajali tena, kipindi cha 2019 nilipofungua Unique Flower.
Naanzaje kukupenda? Nilipende jina lako au avatar yako?
Zamani malegendari tulikuwa tukionana physically. Tunashikana mikono tunakimbizana huko vichakani. Siku hizi hayo mambo hayapo, labda na mimi nifungue LEO TUKO HAPA SEASON 2